Pre GE2025 Kama umepanga kugombea nafasi ya uongozi 2025 hakikisha umejipanga hasa

Pre GE2025 Kama umepanga kugombea nafasi ya uongozi 2025 hakikisha umejipanga hasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Ficheni mipango yenu ya Kisiasa

2. Acheni kuwaamini 100% Wake zenu na hasa Madereva wenu

3. Kuweni makini na Vinywaji mnavyokunywa hasa maeneo ya Mapumziko

4. Kataa kuwa na Chawa kwani Mafia wanawatumia hao hao Machawa wenu Kuwamalizeni kiurahisi

5. Kama unasali sana, Sali Kweli na kama unaroga mno Roga hasa ila kamwe usichanganye haya Mawili

6. Kuanzia sasa (Novemba hii) punguza Idadi ya Mahawara ulionao kwani wengi wenu mmepandikiziwa Maadui

7. Mnaopenda kutumia Usafiri wa Magari yenu (hasa kwa Safari Ndefu) hakikisheni mara kwa mara muwe mnafanya Uchunguzi wa Nati za Matairi ya hayo Magari yenu

Sasa wewe dhania tu GENTAMYCINE ninafanya Masihara hapa ila ukirudisha chenji Ndugu zako watakuja Kunipigia Saluti JF.
 
Fact.

Watu wengi wanaweza wakaudharau huu uzi wako, lakini Ukweli na uhalisia uko hivyo ulivyoeleza. Wenye nia ya kugombea Vyeo vya kisiaasa hapo mwakani wachukue ANGALIZO hilo, na wazingatie tahadhari zote kabisa kwa ajili ya usalama wao pamoja na familia zao.

Wachukue tahadhari kuhusu:-
1. Ajali za Kutengenezwa hususani Ajali za barabarani (Staged Car accidents).
2. Kuwekewa Sumu (Poisoning), hususani kwenye Vyakula na Vinywaji, hasa hasa kwenye maeneo ya starehe ya umma, Maofisini, Waepuke Sana vyakula vya kuletewa.
3. Wawe waangalifu Sana na watu wao wa karibu, e.g. Wenza wao, Wafanyakazi wao wa majumbani na Maofisini Kama vile; House-girls and house boys, Walinzi wao, Makatibu Muhtasi wa Ofisini kwako, Office Attendants, Madereva, etc.
4. Wachukue tahaadhari na Wahudumu wa Afya kwenye Hospitali wanazohudhuria kwa huduma za Afya,
5. Wasipende kuwa karibu Sana na Watu wasiowafahamu kwa undani Sana, waepuke Sana wageni wapya 'wenye mashaka.'

IN GENERAL, Never trust anyone except yourself, trusting people will get you killed.
 
Haha,
Kwa hiyo machawa siyo waaminifu na ni wepesi kununuliwa na mahasimu wa wamiliki wao?!!
Tlaatlaah
sihusiki na dhana ya unyumbu ama vinginevyo kwasasabu yeyote ile.

wajibu wangu mkuu ni kuhakikisha wananchi wanafurahia maendeleo yanayoletwa na serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi wetu makini na kipenz cha waTanzania wote, mpendwa sana, comrade Dr.Samia Suluhu Hassan 🐒
 
1. Ficheni mipango yenu ya Kisiasa

2. Acheni kuwaamini 100% Wake zenu na hasa Madereva wenu

3. Kuweni makini na Vinywaji mnavyokunywa hasa maeneo ya Mapumziko

4. Kataa kuwa na Chawa kwani Mafia wanawatumia hao hao Machawa wenu Kuwamalizeni kiurahisi

5. Kama unasali sana, Sali Kweli na kama unaroga mno Roga hasa ila kamwe usichanganye haya Mawili

6. Kuanzia sasa (Novemba hii) punguza Idadi ya Mahawara ulionao kwani wengi wenu mmepandikiziwa Maadui

7. Mnaopenda kutumia Usafiri wa Magari yenu (hasa kwa Safari Ndefu) hakikisheni mara kwa mara muwe mnafanya Uchunguzi wa Nati za Matairi ya hayo Magari yenu

Sasa wewe dhania tu GENTAMYCINE ninafanya Masihara hapa ila ukirudisha chenji Ndugu zako watakuja Kunipigia Saluti JF.
Pale kawe umejipanga pangaje,ikiwa unahitaji msaada kwenye kujipanga sema.
 
1. Ficheni mipango yenu ya Kisiasa

2. Acheni kuwaamini 100% Wake zenu na hasa Madereva wenu

3. Kuweni makini na Vinywaji mnavyokunywa hasa maeneo ya Mapumziko

4. Kataa kuwa na Chawa kwani Mafia wanawatumia hao hao Machawa wenu Kuwamalizeni kiurahisi

5. Kama unasali sana, Sali Kweli na kama unaroga mno Roga hasa ila kamwe usichanganye haya Mawili

6. Kuanzia sasa (Novemba hii) punguza Idadi ya Mahawara ulionao kwani wengi wenu mmepandikiziwa Maadui

7. Mnaopenda kutumia Usafiri wa Magari yenu (hasa kwa Safari Ndefu) hakikisheni mara kwa mara muwe mnafanya Uchunguzi wa Nati za Matairi ya hayo Magari yenu

Sasa wewe dhania tu GENTAMYCINE ninafanya Masihara hapa ila ukirudisha chenji Ndugu zako watakuja Kunipigia Saluti JF.
Uzushi mtupu bosi
 
1. Ficheni mipango yenu ya Kisiasa

2. Acheni kuwaamini 100% Wake zenu na hasa Madereva wenu

3. Kuweni makini na Vinywaji mnavyokunywa hasa maeneo ya Mapumziko

4. Kataa kuwa na Chawa kwani Mafia wanawatumia hao hao Machawa wenu Kuwamalizeni kiurahisi

5. Kama unasali sana, Sali Kweli na kama unaroga mno Roga hasa ila kamwe usichanganye haya Mawili

6. Kuanzia sasa (Novemba hii) punguza Idadi ya Mahawara ulionao kwani wengi wenu mmepandikiziwa Maadui

7. Mnaopenda kutumia Usafiri wa Magari yenu (hasa kwa Safari Ndefu) hakikisheni mara kwa mara muwe mnafanya Uchunguzi wa Nati za Matairi ya hayo Magari yenu

Sasa wewe dhania tu GENTAMYCINE ninafanya Masihara hapa ila ukirudisha chenji Ndugu zako watakuja Kunipigia Saluti JF.
Nikirudisha chenji au number?
 
Dunia ilipewa Ishara kupitia kuokolewa Kwa trump,Lissu na matukio ya risasi.

Watz msiogope kuingia vitani(chaguzi) zijazo Kwa nafasi mbalimbali.

Muhimu kusimama katika Kweli na HAKI.

NB; Ulinzi wa Malaika wa Mungu ni zaidi ya KGB, Mossad, CIA nk nk nk.


Aamen
 
Back
Top Bottom