Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Mkuu unataka kuniaminisha ulienza nae ndio upo nae?Sawa wenye ma x
Toka LA nne mpaka Leo !!!Mkuu unataka kuniaminisha ulienza nae ndio upo nae?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] safi...Toka LA nne mpaka Leo !!!
Haaaa..bila hta kupiga kijiko kimoja?Mie nawazoom hapa! Kiporo chagu kilimwagika!
Inatokea mkuu...automaticallyNaona wanzinzi katika ubora wa kiwango cha standard gauge......
NakaziaNaona wanzinzi katika ubora wa kiwango cha standard gauge......
Hyo ni hatari nyinginee...Wazee wa viporo mkuje mnaitwa mambo ya kupasha pasha hayo siku ya siku unapasha mtu ana gonjwa lake huko anakuacha upambane na hali yako
Ndio muwe mnafkilia mmeachana miaka na miaka hujui mwenzako amepitia njia zipi huko aliko we ukikutana nae unawaza kupasha kiporoHyo ni hatari nyinginee...
Haha mimi nimewakilisha mawazo ya wengine tu,mim hapo ni kama mjumbe[emoji23]Ndio muwe mnafkilia mmeachana miaka na miaka hujui mwenzako amepitia njia zipi huko aliko we ukikutana nae unawaza kupasha kiporo
Yaani acha tuu, kilimwangika wakati natoa kwa fridge nipasheHaaaa..bila hta kupiga kijiko kimoja?
Na iendelee tu kuwatokea hata zaidi ya maramoja moja....tehteehhhInatokea mkuu...automatically
Ngumu sana kukubali ilee...Hapa hutoona mwanamke anayekubali aliwahi kupasha kiporo
Bad lucky[emoji23]Yaani acha tuu, kilimwangika wakati natoa kwa fridge nipashe
Kuna mmoja amekubali kukulwa kiporo bila kupasha...tehteehhhHapa hutoona mwanamke anayekubali aliwahi kupasha kiporo