Kama umewahi kupasha kiporo tukutane hapa

nikiwaga single tu ndo nilivo...ni mwendo wa kuvipasha...halafu situmii nguvu...km kumsukuma mlevi tu
 
Wanawake wengi wanaongoza kupasha viporo na kuungia kabisa mchuzi hasa ukute pale aliyenaye kwa sasa hajui kushughulika ipasavyo...
 
Kwa wale wote ambao hawana ujanja kwa ma ex wao wakitaka rematch,au kukumbushia enzi lazima unase tu kwa njia wanazotumia kwa sababu anakujua vizuri weakness na strength zako, tukutane hapa tupeane maujanja ya kuwakwepa wasituvunjie ndoa zetu.
Kuna kiporo changu kimeolewa pale lugalo sasa hiki kukipasha mhhh!!!
 
hiyo rahisi sana.., unasoma mzunguko wa shift zake. unaweza kulala mpaka kotaz [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaaaaa!!!Mkuu naomba nikupe wewe hii nafasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…