You mean alirest?Mie nawazoom hapa! Kiporo chagu kilimwagika!
Hata mpya anaweza kuwa na gonjwa. Cha muhimu ni kuacha uasheratiWazee wa viporo mkuje mnaitwa mambo ya kupasha pasha hayo siku ya siku unapasha mtu ana gonjwa lake huko anakuacha upambane na hali yako
Siku utakayopashwa ndio utajutaaanikiwaga single tu ndo nilivo...ni mwendo wa kuvipasha...halafu situmii nguvu...km kumsukuma mlevi tu
WordHata mpya anaweza kuwa na gonjwa. Cha muhimu ni kuacha uasherati
WanakujaaWanawake wengi wanaongoza kupasha viporo na kuungia kabisa mchuzi hasa ukute pale aliyenaye kwa sasa hajui kushughulika ipasavyo...
Unajua ufanye nn mwenyewe anajaanikiwaga single tu ndo nilivo...ni mwendo wa kuvipasha...halafu situmii nguvu...km kumsukuma mlevi tu
AsanteeHata mpya anaweza kuwa na gonjwa. Cha muhimu ni kuacha uasherati
Kuna kiporo changu kimeolewa pale lugalo sasa hiki kukipasha mhhh!!!Kwa wale wote ambao hawana ujanja kwa ma ex wao wakitaka rematch,au kukumbushia enzi lazima unase tu kwa njia wanazotumia kwa sababu anakujua vizuri weakness na strength zako, tukutane hapa tupeane maujanja ya kuwakwepa wasituvunjie ndoa zetu.
Labda ukakipashie mkoani..[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna kiporo changu kimeolewa pale lugalo sasa hiki kukipasha mhhh!!!
Sasa tatzo nikijulikana naweza hatarisha rinda na wale hawana dogo kwa kushirikianaLabda ukakipashie mkoani..[emoji23] [emoji23] [emoji23]
hiyo rahisi sana.., unasoma mzunguko wa shift zake. unaweza kulala mpaka kotaz [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna kiporo changu kimeolewa pale lugalo sasa hiki kukipasha mhhh!!!
Suicide missionhiyo rahisi sana.., unasoma mzunguko wa shift zake. unaweza kulala mpaka kotaz [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaaaaa!!!Mkuu naomba nikupe wewe hii nafasihiyo rahisi sana.., unasoma mzunguko wa shift zake. unaweza kulala mpaka kotaz [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata kwa jiko la mafuta ya taa..unapasha tuvinapashwa kwa jiko LA gesi au mkaa??
.Hata kwa jiko la mafuta ya taa..unapasha tu
Bby wew ndio wakwanza na wamwisho,,sasa nitapasha kwa nanii?Usije ukapasha kiporo bebi nilishaacha kupigana,usije ukanifanya niende jela na umri huu mimi jaman