Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,090
- 13,511
Njoo pm
Sent from my iPhone using JamiiForums
We jamaa hii chaiNishawahi sikia kisa kinschohusishwa na uchawi
Kuna masela wawili walienda kwa mganga ili wapate utajiri
Mganga akawapa dawa akawaambia wakaoge usiku makaburini na wakitoka mlangoni kwa mganga hawatakiwi kugeuka nyuma
Basi unaambiwa safari yao iliandamwa na misukosuko yakutisha, mara wasikie muungurumo wa simba akiwa nyuma yao na vimbwenga vingi lakini walijitahidi kukaza ili kutovunja sharti la kugeuka nyuma
Sasa ulipofika usiku majira ya saa 8 ikabidi waende makaburini kuoga ili kumalizia zoezi lao la mwisho ili wawe mamilionea
Walipofika makaburini wakavua nguo wote nakubakia uchi kisha wakapanda juu ya kaburi ili waoge
si unajua ukiwa katika ile mood flani hivi unaoga halafu umefumba na macho ili maji yasiingie machoni.
wakastukia tu paap! wameshikwa makalio kwa nyuma.
Aaah unaambiwa wote ilibidi wageuke nyuma kwa haraka huku wanakimbia na kupiga makelele
Kesho yake kijiweni wakaanza kulaumiana "aaah wewe ndiye ulizingua, we ungekausha bila kupiga mikelele mi nisingechochora kwani kushikwa tako kitu gani bwana" yani leo nisingekua nakunywa kahawa hapa ningekua nimejikoki huko kwenye hotel zinazotambulika na dunia"
Mkuu nimeku PMAiseh , Njoo nikupe namba bure, ila ukirudi usisite kutoa mrejesho humu humu , karibu inbox
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mrejesho LazimaAiseh , Njoo nikupe namba bure, ila ukirudi usisite kutoa mrejesho humu humu , karibu inbox
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji16][emoji16][emoji16] Kwamba watamjua ye ni nani maana nyota itakua inawakaIla kama umejipanga zaidi, nakushauri huende hata kwa waganga watatu tofauti huko huko... mi nikienda huwa nakaa wiki Nzima, napitia waganga kama sita hivi [emoji16]
Waganga Wengine ukifika tu kituon ukiwauliza madereva boda boda watakuambia sehem nzuri, Tanga kuna wachawi, nikutakie kila la kheri na mafanikio.
, huyo niliyekupa anakupigia ramli, anakusafisha mwili na kukupandisha nyota, ukitoka hapo majiran zako watakujua we ni nani[emoji23].
Sent from my iPhone using JamiiForums
Waganga wanatumia details kama nguo za ndan , kucha, nywele, majina kamili na wengine hupiga ramli na kupata info zote za kitu au mtu anayemtaka.
Miaka kadhaa iliyopita niliwahi kwenda Tanga kwa mara ya kwanza kufanya ushirikina, nilienda tu kwa kuwa Rafiki yangu alishaenda pia akafanikiwa mambo yake.
Kutokana na tatizo langu kuwa kubwa kiasi , mganga aliniambia natakiwa kufanya kafara ya mbuzi , Bahati nzuri nilikua na vijisenti, nitatoa kafara , nikafanyiwa visomo pamoja na mambo mengine mengi ya kishirikina
Kwa kweli nilikua Naona mambo ya ajabu kwa kuwa ushirikina nilikua nauona kwenye movie tu .
Basi baada ya kutoka Tanga nikarudi home , ndan Ya siku Tatu tu , haja yangu ile ile niliyoitaka ikaja kwa njia ya ajabu mno, nakumbuka usiku wa ile siku sikulala kabisa , nikawa nawaza kumbe uchawi upo ?
Basi toka miaka hiyo had leo maisha yangu ni ushirikina tu na sijawahi kujuta kwa kweli wala kutapeliwa, labda kwa kuwa mtu aliyenipeleka huko ni mshirikina sana na ameenda sehem nyingi so anajua mganga yupi mzuri.
Ila kitu kimoja ukishaingia kwenye ulimwengu wa giza, roho ya kibinadamu inakutoka, mtu akikuudhi kidogo tu unaweza hat kumdhuru au kumtoa roho kwa ushirikina
Ogopa sana kugombana na watu hovyo, wengine wana nguvu za kiroho , unajikuta unagombana nao, wao wanaenda kukumaliza kwenye ulimwengu wa roho , tena hawakuumizi wala nini, wanakuacha uishi ila kwenye ulimwengu wa roho wameshakuua, hat ufanye nini huwez kufanikiwa.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu, nimeona, Ila naona tarakimu zimekuwa nyingi, umezidisha tarakimu.Nimeshakutumia pm
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahaha nilishawah kuwa na mchepuko flan ulikua unakaa uswaz kumbe pale alipokua anakaa hapatan na wapangaj wenzake walikua wanaona wvu kwakua kila nikija nakuja na madiko diko..kimsingi nilikua nakuja ijumaa na kuondoka j3 basi siku moja kama kawaida nimeenda kula mzigo nikiwa nimehemea kama kawa,usiku ukapikwa wali kuku tukapiga na ma juice kumbe majiran kinawauma balaa..we usiku nikaanza kuumwa tumbo ikawa chooni pamekua kama room maana kila mara naenda ila cha kushangaza naharisha wali na kuku kama ulivYo nikajua labda ni kuvimbiwa..kesho yake asubuhi baada ya tea nikaanza tena kuharisha chai na mazagazaga kama yalivyo nikasema jion nakula kdgo weee mchezo ule ulee siku ya pili majiran wanacheka na kuongea kua MTATOA MLICHOKULA nikaona eeeh tushpgwa kitu..ule mchepuko ukasema we nenda mi ntamalizana nao..hahahaa nilivyokuja next wk nikagonga msosi fresh bila kuumwa tumbo wala nn
Sent using Jamii Forums mobile app
Siijui jiografia ya Tanga vizuri. Lakini kwakuwa najua kusoma na kuandika, sitapotea.Ila kama umejipanga zaidi, nakushauri huende hata kwa waganga watatu tofauti huko huko... mi nikienda huwa nakaa wiki Nzima, napitia waganga kama sita hivi [emoji16]
Waganga Wengine ukifika tu kituon ukiwauliza madereva boda boda watakuambia sehem nzuri, Tanga kuna wachawi, nikutakie kila la kheri na mafanikio.
, huyo niliyekupa anakupigia ramli, anakusafisha mwili na kukupandisha nyota, ukitoka hapo majiran zako watakujua we ni nani[emoji23].
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hii picha ni mama mmoja huko sengerema maeneo ya Kome kisiwani,nyumbani kwa Mh.Charles Tizeba,mama huyu alikuwa ni mshirikina,siku ya tukio mama aliondoka na kumwacha mmewe akiwa amelala ,bahati mbaya alienda kufanya shiriki kwenye mji uliokuwa umezindikwa hivyo alifia kwenye huo mji,
Huku nyumbani Mme wake hakuwa na taarifa ,aliendelea kuuchapa usingizi hadi saa mbili asubuhi alipoamshwa na kelele za wanazengo wakimjulisha kuwa mke wake kakamwa Sehemu na huenda anekufa
Chakushangaza ,yeye usiku wote alijua kuwa kalala na mkewe,wana nzengo wakati wanamwasha Mme wa mama huyo walishangaa kuona fisi anatoka na kukimbia,na kumwacha jamaa akishangaa,maana yeye alijua kuwa kalala na mtuView attachment 1418350
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wengi wananitumia PM kuomba namba za waganga. Ila hakuna hata mmoja ambaye nimempa, Coz nafsi yangu bado haijaridhia kumpa mtu yeyote iwe bure au kwa pesa. Halafu muwe makini sana na watu wanaowapa namba za waganga humu, mtaishiwa kutapeliwa na kupelekwa sehemu sio .
Nakumbuka kuna kipindi nilikua so desperate na waganga, nilihangaika sana yani kumpata mtu wa kunielekeza huko kwa mda mrefu. Mpaka ikabidi niombe dua hili nipate mtu sahihi kwa kunipeleka kwa waganga.
Mungu sio athumani, akaniunganisha na mtu sahihi aliyetimiza tamaa ya moyo yangu , tamaa ya kufanya ushirikina.
So ushauri wangu , watu wajaribu kutulia na kuongea na nafsi zao na kuomba, kama ni kweli ni kitu wanachokitaka kukifanya, basi watakipata tu kwa njia yeyote, wala hautahitaji nguvu. Roho zetu siku zote zinasikiliza tamaa zetu na kutupatia kile kinachostahili.
Mimi naweza kukupa namba za waganga nilioenda na bado usifanikiwe, so ni bora ukambana wewe mwenyewe kutafuta kile unachokitaka, pambana usikate tamaa.
Mimi ninachojua na nilichojifunza katika haya maisha , Watu wengi wakubwa hapa Duniani, wamefanikiwa kwa nguvu za shetani, inshort shetani ndie anayemiliki hii dunia , tutake tusitake.
Kitu kingine ambacho nilikua sikijui, kumbe kuna watu Tupo nao hapa duniani wanaenda kuongeza mda wa kuishi hapa duniani kwa nguvu za giza
Na kwa kuongezea tu , ni kweli nguvu za giza zipo , na zinatenda kazi .
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ila kama umejipanga zaidi, nakushauri huende hata kwa waganga watatu tofauti huko huko... mi nikienda huwa nakaa wiki Nzima, napitia waganga kama sita hivi [emoji16]
Waganga Wengine ukifika tu kituon ukiwauliza madereva boda boda watakuambia sehem nzuri, Tanga kuna wachawi, nikutakie kila la kheri na mafanikio.
, huyo niliyekupa anakupigia ramli, anakusafisha mwili na kukupandisha nyota, ukitoka hapo majiran zako watakujua we ni nani[emoji23].
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu check PMKuna watu wanajua kutesa binadamu wenzao, halafu unakuta wengine wamekuzidi kila kitu , ila hawataki kabisa mambo yako yawe mazuri, Sijui hyu uchawi wa aina gan
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu check PMKuna watu wanajua kutesa binadamu wenzao, halafu unakuta wengine wamekuzidi kila kitu , ila hawataki kabisa mambo yako yawe mazuri, Sijui hyu uchawi wa aina gan
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu nimeku PMPole sana msikate tamaa
Km mnaamini katika maombi kwa jina la Yesu
Njoo pm nikupatie no ya mchungaji wa Kkkt,hamna cha hela wala nini
Sent using Jamii Forums mobile app