Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Niliona uvivu kuleta hili neno, ila sio mbaya kila mtu anabaki na imani yake na mwisho wa siku kinachompeleka mtu mbinguni au jehanamu ni matendo yake binafsi na sio ya mchungaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasiachane..
Kama mume Yuko vizuri basi haina haja ya kuachana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mume wake hana Shida kabisa japo ndugu zake mwanzo walijitahidi kumfanya asifanikiwe kwa chochote kwakua aliwakatalia ila nae ana msimamo imani yake. .mungu si athumani sasahivi maisha yake mazuri na anataka wakaishi zao Kenya....sasa anashughulikia passport ya mama namtoto

Cc Smart911
 
Ndio ushirikina huohuo boss wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nmecheka mno[emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hadi raha jamani [emoji7][emoji3526][emoji847]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Connection mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleni mkuu msimame sana na Mungu qhaswa mdogo wako mwenyewe ajue kusimama na Mungu bila kusaidia wasaidizi (wewe)..... and huyo mtoto msimpeleke ukweni mkuu ataharibika sana tena sana maana watoto hawawezi simama peke yao.....

Na akikua mtoto kufikia kujua mema na mabaya basi mfundisheni sana kusali na kumjua Mungu kabla hajaingia sehemu mbaya....

hao ndugu watajaribu kumrushia magonjwa endapo mtoto asiposali na mama asipomfunika mtoto kwa maombi, nina binamu yangu aliolewa familia kama hiyo mtoto wake alianza tu kulalamika mama masikio yanauma na kuwasha, ikafika kipindi dogo mpaka umuite mara 2 ndo anasikia hali ikawa mbaya siku zinavyoenda hospital hawajui tatizo anaonekana yupo sawa.......basi kuna siku yule dogo aliombewa ilikuwa tafrani sana na alitapika vitu vya ajabu na maji yanayonuka sana yalitoka kwenye masikio dogo akapona na akawa mzima tu hadi now...

Msimame sana wangekuwa hawana huyo mtoto ungesema uwatenganishe ila kwa kufanya hivyo sahizi itakuwa kama kuwakatili wote 3 akiwemo na mtoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Badae yule binti alionesha dawa zote alizoweka mule ndani ikiwemo chini ya kitanda. .mlangoni kwa juuna nje alichimbia kisha ma mchungaji akavichoma. pia Kulikua na dawa ya kuwasaidia kupaa kwenda kuwanga ambayo yeye ndie aliyekabidhiwa vyote vilichomwa na kuwamaliza nguvu kabisa. ...
Alivokua anaenda kutuonesha sisi tulikua hata hatuoni kitu ila vitakataka vya vumbi vumbi na viuchafu vya kawaida tu ila yeye alikua anaona kuwa ni dawa ...

Badae nikataka kumpeleka kwao ila ma mchungaji akasema huyu ana madude mengi sana hawezi kwenda kwao saivi wacha akae kwanza kanisani mpaka atakapofunguliwa kabisa. .alikaa kama siku 4 tu badae tukawapigia cm kwao tukaongea na mama yake kumweleza yooote akasema haya arudi nyumbani kesho. .

kesho kumpeleka kwao sasa nusura wakatwe na mapanga. .walipelekwa ma mch. Mama mwingine wa hekima na baba fulani hivi watu wazima wenye busara zao. .

walipofika kwakina binti tu walipokelewa na watu wamesimama na mapanga mlangoni. ..huku wakilalamika kwabinti kwamba yani ulichotufanyia happy ni bora ungekuja ukiwa maiti tungekupokea kwa amani na furaha kuliko ulichotufanyia ..si tulikukataza vya kanisani sisi? ? unaona ulichotufanyia? ??

..unajua Ilikuaje mpaka wakajuana kichawi na wifimtu? ?
Yani kwao na binti ni wachawi na tangu akiwa mdogo akiwa haji tambui walifanyia mavitu ya kichawi walimchanja walimnyesha
namengine mengi ...likewise ukweni kwa dogo wachawi. .

sasa kuna siku wachawi wakiwa huko kuzimu kwenye mambo yao ilikua muda wa kujitambulisha na unakotoka. .sasa mama binti akajitambulisha ..wifimtu nae vivohivo. .Badae mama binti akagundua kuwa alipo wifimtu ni eneo hilo hilo anapofanyia kazi bintiye hivo wakajuana kwa ukaribu zaidi kisha mamamtu akampa wifimtu mawasiliano ya bintiye. ..
Siku binti anapigiwa simu ilikua usiku saa 2 akampigia sim kwa kutaja jina la binti mahari anapotoka yani kama mtu anaemfahamu akimwambia wanataka waonane waongee kazi fulani. ..

Cc Smart911
 


Asante kwa ushauri mkuu Naamini hawawezi kuwafanyia chochote tena...

Mungu atawapigania mkuu


Cc Smart911
 
nyie na makanisa yenu ondokeni humu mnaprove n jinsi gani hamna uelewa na hayo makanisa yenu yamewachanganya tread inasema walioshuhudia nguvu za giza nyie mnaleta mambo ya mchungaji kwendeni huko muanzishe uzi wa mlioombewa mkatoa mapepo
Mbona umepanick mkuu? ebu kunywa maji kwanza kidogo alafu ukuona vinakukela usisome.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Giningi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kwamba nimeamini alichoandika huyo ndugu....lakini pia sijui kwa nini katika jambo lolote linalotokea wengi wetu huwa tunapeleka sifa ni shetani, je utaratibu wa Mungu ni upi! Au unaka kusema Mungu anaformula flani....mie nawaza kama kuna lolote katika ushuhuda huu limeenda kinyume na neno la Mungu hapo sawa ila kama sivyo basi ile amani itawalayo na kupita akili zote iamue moyoni mwako.
 
Una mapepo makali sana. Aiseee...povu limekutoka sana.shida nini hasa? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

nyie na makanisa yenu ondokeni humu mnaprove n jinsi gani hamna uelewa na hayo makanisa yenu yamewachanganya tread inasema walioshuhudia nguvu za giza nyie mnaleta mambo ya mchungaji kwendeni huko muanzishe uzi wa mlioombewa mkatoa mapepo
 
Upande wa Giza unatambua sana maana ya mzaliwa wa kwanza,kitu ambacho watu wengi hawajui.
Mzaliwa wa kwanza ni Lango La kiroho.vitu vizuri au vibaya katika familia ni lazima vipitie kwake.


Mwanzo 49:3
Reubeni u mzaliwa wangu wa kwanza,nguvu zangu na malimbuko ya uwezo wangu. Umewapita wengine kwa ukuu na nguvu.

i. Amebeba nguvu nyingi za familia.
ii. Amebeba Baraka za aina mbalimbali za wadogo zake.
iii. Amebeba nguvu ya upendo ndani ya familia.
iv. Mzaliwa wa kwanza ni lango, Zab 24:7-9, ambapo Baraka zote za familia kutoka mbinguni zinapitia kwake na kuwafikia wadogo zake wote.
v. Amebeba ustawi wa familia kiroho na kimwili.

Pitia na mistari hii pia itakufungua zaidi juu ya hili.
Kutoka 4:22-23
Kutoka 12:12-13
Yeremia 31:9
Mwanzo 21:9
Mwanzo 25:29-34

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…