Kichwa Ni kwa ajili ya supu,matiti na maini Ni nyama laini,Mara nyingi wakuu huwa ni watu waliokwenda na umri kiasi,nyama nzuri na laini iwafaayo ni hizo.Kwa nyama ya binadamu wale wakuu wa wachawi wao hupenda kichwa na matiti eti ndo vitamu sana na ni kwa ajili yao wakuu tu
kwa maelezo ya huyo hg wangu
Cc Smart911
Walinipeleka kwa wachungaji na mashekhe kuombewa, ila amna kilicho tokea, kuna shekhe mmoja sahivi ni marehem alisema hua inatokea baadhi ya binadam kuwa na uwezo huo
Kichwa Ni kwa ajili ya supu,matiti na maini Ni nyama laini,Mara nyingi wakuu huwa ni watu waliokwenda na umri kiasi,nyama nzuri na laini iwafaayo ni hizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sure mkuu. Huenda mchawi alimfanya amuone mke wake ni mchawi kumbe wala. Alichofanya mtoa mada cha kumuacha mkewe ni upungufu wa imani wa kiwango cha juu sana. Akiota yeye mwenyewe kageuka mbwa atajikataa?Sasa bwana ulimwacha mke kwa kuwa kawa mbwa usiku mmoja tu km na yy alitumika na wachaw huoni km ulimuonea? au kuna tukio lingine lilijitokeza.
Sijui ikoje hii ila from my experience ya biashara Hawa misukule iko ya Aina mbilikweli hata huyo houseg wangu alisema. .kuna kazi mbali mbali wanapewa kama yeye kazi yake ilikua jikoni na kutumwa kuua tu. .eti pia kuna siku za kusherekea tu hio siku wanaimba wanakula wanafurahiii. .lakini pia alisema kule hawawi na maumbo ya kibinadamu bali wanakua na maumbo ya wanyama au ndege wengine ng'ombe kuku n.k sasa Sijui inakuaje hapo
pia yule binti aliyeletwa kanisani baada ya kuonekana kwa miaka 5 kupita alikua anakula kwa mkono ila kama ndege au kuku yani kama anadonoa vile iwe wali iwe ugali
sijui inakuaje hapo
Cc Smart911
Ni makubaliano Kati ya wewe na mshirika(Mchawi).Kufika ukauziwa musukule wa kulimia ina maana na wewe ni mshirikina,je huko mwanza gamboshi iko wilaya gani, wanapokuwa wamalima hao musukule wewe wawaona live au unapeleka order then unakuta shamba limelimwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni makubaliano Kati ya wewe na mshirika(Mchawi).
Kuwaona ndiyo lazima uwaone na uchague yupi ana afya na atafaa kwa shughuli utakayoitaka.
Kuwasimamia hapana ila utaenda kutazama ikiwa wamefanya Kama ulivyotaka wanajisimamia wanapangana kazi ,muda wa kazi utakapoisha watarudi/watarudishwa mahala wanapohifadhiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sitakupa jawabu la moja kwa moja Mkuu nafahamu ulaji wa nyama huliwa nyamafu,na wengi niliokwisha kutana nao wamekiri hivyo hula.Hivi mkuu ni kweli kuwa wachawi hula nyama za binadamu au stories tu,na je hula binadamu wepi,wafu au walio hai?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameongea kweli..Lile liuzi lako kule limekudodea sasa umekuja kupunguzia machungu huku [emoji1784][emoji1784]
Nami ntafutie kijanaHii imetokea wiki iliyopita jumatano..
Nilienda kumtembelea rafiki angu fulani tumeanza nae lakwanza ila alipofika form four alifukuzwa shule, sababu kuu alipiga ofisi nzima ya walimu akiwa mwenyewe. Walimu walikua wanatumia kumpiga na viti ila hakutoka hata nundu ila walimu wote wa kiume aliwachakaza vibaya..
Je aliwezaje kuwapiga mwenyewe.?
Huyu rafiki angu alichanjwa dawa fulani inaitwa Vidono ambavyo vinamuongezea nguvu pia ukimpiga kwa siraha yoyote ile haumii wala kuvimba. Siraha inayoweza kumuumiza mtu mwenye vidono ni wembe tu kwakua wenyewe ndio ulio mchanja dawa.
Sasa siku hiyo jumatano tukawa tunakumbushia tukio hilo la kupiga walimu nikamwambia wale walimu wangejua wangechukua nyembe wangekuweza..Akasema kwake hata wembe haufanyi kazi maana kidono alichokula ni extra ordinary wembe haushiki. Nikabisha.
Alinieleza kua yeye ukimchana na wembe unaweza kumchana ila damu hazitoki kama mimi na wewe zinavyotoka..ukimchana zinaganda hapo hapo. Nikabisa.
Alienda chumbani akachukua wembe akajichana kwenye msuli wa mkono damu zilitoka kweli lakini hazikutiririka kwa maajabu kabisa baada ya dk tano kile kidonda kilikua kimeshapona kabisa kama hakuna kitu kilichotokea.. Nilishangaa sana hili tukio.
Nafahamu aina nyingi za vidono na nishawahi kuwa navyo siku za nyuma ila cha huyu jamaa ni kiboko akanieleza jinsi alivyochanjwa weeee na madawa yakiyotumika nikabaki nimeduwaa..
Hua twaona tu kwenye muvi za X men wolverine anachanwa kisu hapo hapo anapona ila hiyo siku nilithibitisha kua things are real in this world.
Niliharibu vidono makusudi kabisa maana mm sio mgomvi wala sijichanganyi kwenye makundi ya watu ila hua nikifikiria wale wahuni wa Kigigo,gongolamboto,Karakata,Sombetini,Ngarenaro, mianzini,Matejo,Sinoni,ungalimited No way itabidi nivitafute asee
Njoo mimi ninayo natoa bure bibie.Nami ntafutie kijana
Nije wap sasa?Njoo mimi ninayo natoa bure bibie.
Huku nilipo, si unataka dawa ?Nije wap sasa?
NdioHuku nilipo, si unataka dawa ?
NjooNdio
Wapi sasaNjoo
PMWapi sasa
😀😀haya lakini usije ukawa unanidanganya maana Ntaenda kusema nyumbani