Sikudanganyi kabisa, wewe njoo.😀😀haya lakini usije ukawa unanidanganya maana Ntaenda kusema nyumbani
Haya nakuja sahivSikudanganyi kabisa, wewe njoo.
Nakusubiri, uje kweli.Haya nakuja sahiv
Nakuja bana we nisubirieNakusubiri, uje kweli.
Poa, usinichomeshe Mahindi.Nakuja bana we nisubirie
Basi mama amekataa, siji tenaPoa, usinichomeshe Mahindi.
Daaaah.Basi mama amekataa, siji tena
Labda nitoroke nijeDaaaah.
Fanya hivyi, kwani usalama uko wa kutosha hilo ondoa shaka, na utarudi na zawadi kwa ajili ya kumpa mama.Labda nitoroke nije
Thawa nakujaFanya hivyi, kwani usalama uko wa kutosha hilo ondoa shaka, na utarudi na zawadi kwa ajili ya kumpa mama.
Uje kweli tafadhali.Thawa nakuja
Swali Namba jibu lake ni kuwa elimu haina mwisho,tambua kuna walimu wa cheti,diploma,shahada,masters NK.namimi katika andiko langu sijataja elimu yangu
2,swali lako la pili ni kuwa alipokufa tena Mara ya pili kwanza hakuzikwa nyumbani kwao ila alizikwa polini na hakukua na matanga tena,
Sent using Jamii Forums mobile app
Siraha = silahaHii imetokea wiki iliyopita jumatano..
Nilienda kumtembelea rafiki angu fulani tumeanza nae lakwanza ila alipofika form four alifukuzwa shule, sababu kuu alipiga ofisi nzima ya walimu akiwa mwenyewe. Walimu walikua wanatumia kumpiga na viti ila hakutoka hata nundu ila walimu wote wa kiume aliwachakaza vibaya..
Je aliwezaje kuwapiga mwenyewe.?
Huyu rafiki angu alichanjwa dawa fulani inaitwa Vidono ambavyo vinamuongezea nguvu pia ukimpiga kwa siraha yoyote ile haumii wala kuvimba. Siraha inayoweza kumuumiza mtu mwenye vidono ni wembe tu kwakua wenyewe ndio ulio mchanja dawa.
Sasa siku hiyo jumatano tukawa tunakumbushia tukio hilo la kupiga walimu nikamwambia wale walimu wangejua wangechukua nyembe wangekuweza..Akasema kwake hata wembe haufanyi kazi maana kidono alichokula ni extra ordinary wembe haushiki. Nikabisha.
Alinieleza kua yeye ukimchana na wembe unaweza kumchana ila damu hazitoki kama mimi na wewe zinavyotoka..ukimchana zinaganda hapo hapo. Nikabisa.
Alienda chumbani akachukua wembe akajichana kwenye msuli wa mkono damu zilitoka kweli lakini hazikutiririka kwa maajabu kabisa baada ya dk tano kile kidonda kilikua kimeshapona kabisa kama hakuna kitu kilichotokea.. Nilishangaa sana hili tukio.
Nafahamu aina nyingi za vidono na nishawahi kuwa navyo siku za nyuma ila cha huyu jamaa ni kiboko akanieleza jinsi alivyochanjwa weeee na madawa yakiyotumika nikabaki nimeduwaa..
Hua twaona tu kwenye muvi za X men wolverine anachanwa kisu hapo hapo anapona ila hiyo siku nilithibitisha kua things are real in this world.
Niliharibu vidono makusudi kabisa maana mm sio mgomvi wala sijichanganyi kwenye makundi ya watu ila hua nikifikiria wale wahuni wa Kigigo,gongolamboto,Karakata,Sombetini,Ngarenaro, mianzini,Matejo,Sinoni,ungalimited No way itabidi nivitafute asee
ni kweli unavyosema wachawi wana alama zao, nilihadithiwa na binti wa kike aliekuwa housegirl kwenye nyumba moja kbl hajaombewa na kurudi ktk hali yake ya kawaida. Ni kwamba, mtu anapopelekwa uchawini kwa mara ya kwanza huwa wanachanjwa, na hizo chanjo zinawafanya watambuane hata ktk maisha/dunia yetu hii ya kawaida.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka miaka ya nyuma niliamua kuanzisha biashara ya bar maeneo ya wazo hill, target kubwa ikiwa ni marafiki zangu ambao walikuwa wanafika sana kwa mwanangu mmoja ambaye alijenga huko na wanakunywa sana hata idea ya kuanzisha iyo bar walinipa wao kwa sababu ilikuwa ndio michongo yangu
Ile bar ilianza vizuri sana na mimi binafsi sikuwa hata na muda wa kwenda sana huko ila nilimuachia dada mmoja mchakarijaji kweli kweli kama manager mimi weekend mnaenda kufunga mahesabu
Iyo siku balaa lilianza kuanzia mida ya saa moja usiku hamna mteja yoyote aliyefika pale na siyo kawaida mida ya saa 3 usiku wakaja watu wawili kila mmoja na gari yake mwanamke na mwanaume, mwanamke akaagiza kreti nzima ya soda, na mwanaume akaagiza ya bia, na wanataka ziwepo hapo hapo walipokaa, mhudumu akaenda kuchukua walivyoleta wakakuta wameongezeka wamekuwa wanne na hapo walipokaa ni juu kwenye ghorofa na kupita ni lazima mtu wa counter chini akuone...mhudumu akawauliza mbona sijawaona mkipita wakasema sisi tumekuona ongeza kreti ya soda na bia, akawabia kunyweni kwanza hizo wakamkazia macho akaenda kuongeza na bia wanazotaka na soda ni za aina zozote zilizopo, muhudumu kirudi akakuta wapo 8, na gari nje zimeongezeka, akaambiwa aongeze tena 8, zile 2 za mwanzo zimeisha, akampigia mtu wa bia za jumla amletee japo alikuwa amefunga akakubali
Zilipofika kupanda juu akakuta wameongezeka wamekuwa wengi na hakuwaona wakiingia ghafla akamuona mmoja anapiga hatua kupanda juu, yani yupo parking kapiga hatua kupanda ghorofa ya kwanza, alizimia hapo hapo jamaa wa jikoni alikuja kukutwa amepooza baada ya kutibiwa kiasili alipona na yule wa counter aliokotwa kwenye kile kibwawa kisichokauka pale wazo ukielekea madale, hizo taarifa ziliniogopesha sana na uwekezaji wangu ukaishia hapo hapo sikuwahi hata kufuatilia kijiko pale...kumbe mwenye nyumba alikuwa na mambo yake alinipigia simu nikamwambia nimesafiri hivyo vitu avichukue
Uchawi ni nini kwanza?
Na unajuaje huu ni uchawi, na si physics, chemistry, biology au psychology usiyoijua tu?
Mababu zetu waliwaona wazungu wachawi, kwa sababu walikuwa na redio, waliweza kutabiri kupatwa kwa jua.
Leo tunajua huu si uchawi, ni vitu vinavyoelezeka kisayansi.
Muandishi maarufu wa Science Fiction, Arthur C. Clarke, alisema, "Any sufficiently advanced technology is indistinguishable from magic".
Sasa wewe utajuaje this is magic from some technology/ trick you don't know?
Wewe utajuaje vitu unavyoita uchawi leo, ni uchawi kweli, au ni vitu vinavyoelezeka kisayansi tu, ila wewe hujajua vinaendaje?
Unajuaje kwamba haupo katika position ile ile waliyokuwa mababu zetu ya kuwaona wazungu wachawi, kwa sababu wanatumia redio na kutabiri kupatwa kwa jua?
Mhh, Mkuu mbona povu. Mi sijaona ubaya hapo. Maana wameconnect hayo makanisa na nguvu za giza walizofanyiwa. sasa tatizo lipo wapi. si wanatoa na solution. Au ulitaka salution iwe kwamba walienda kwa waganga wa kienyeji. ukiona unachukia sana mambo ya MUNGU au unakereka sana ukisikia habari za MUNGU basi ujue kuna tatizo mahalinyie na makanisa yenu ondokeni humu mnaprove n jinsi gani hamna uelewa na hayo makanisa yenu yamewachanganya tread inasema walioshuhudia nguvu za giza nyie mnaleta mambo ya mchungaji kwendeni huko muanzishe uzi wa mlioombewa mkatoa mapepo
I don't care madameSiraha = silaha
Hujajibu niliyouliza.
Nilijua we mcha Mungu kumbe bado unahusudu ushirikinaHii imetokea wiki iliyopita jumatano..
Nilienda kumtembelea rafiki angu fulani tumeanza nae lakwanza ila alipofika form four alifukuzwa shule, sababu kuu alipiga ofisi nzima ya walimu akiwa mwenyewe. Walimu walikua wanatumia kumpiga na viti ila hakutoka hata nundu ila walimu wote wa kiume aliwachakaza vibaya..
Je aliwezaje kuwapiga mwenyewe.?
Huyu rafiki angu alichanjwa dawa fulani inaitwa Vidono ambavyo vinamuongezea nguvu pia ukimpiga kwa siraha yoyote ile haumii wala kuvimba. Siraha inayoweza kumuumiza mtu mwenye vidono ni wembe tu kwakua wenyewe ndio ulio mchanja dawa.
Sasa siku hiyo jumatano tukawa tunakumbushia tukio hilo la kupiga walimu nikamwambia wale walimu wangejua wangechukua nyembe wangekuweza..Akasema kwake hata wembe haufanyi kazi maana kidono alichokula ni extra ordinary wembe haushiki. Nikabisha.
Alinieleza kua yeye ukimchana na wembe unaweza kumchana ila damu hazitoki kama mimi na wewe zinavyotoka..ukimchana zinaganda hapo hapo. Nikabisa.
Alienda chumbani akachukua wembe akajichana kwenye msuli wa mkono damu zilitoka kweli lakini hazikutiririka kwa maajabu kabisa baada ya dk tano kile kidonda kilikua kimeshapona kabisa kama hakuna kitu kilichotokea.. Nilishangaa sana hili tukio.
Nafahamu aina nyingi za vidono na nishawahi kuwa navyo siku za nyuma ila cha huyu jamaa ni kiboko akanieleza jinsi alivyochanjwa weeee na madawa yakiyotumika nikabaki nimeduwaa..
Hua twaona tu kwenye muvi za X men wolverine anachanwa kisu hapo hapo anapona ila hiyo siku nilithibitisha kua things are real in this world.
Niliharibu vidono makusudi kabisa maana mm sio mgomvi wala sijichanganyi kwenye makundi ya watu ila hua nikifikiria wale wahuni wa Kigigo,gongolamboto,Karakata,Sombetini,Ngarenaro, mianzini,Matejo,Sinoni,ungalimited No way itabidi nivitafute asee