Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Siku umekodi ma heka makubwa ela za kuwapa vibarua walime ,wapalilie ,wavune zimekuishia hutoogopa tena wewe tena ndo utakuwa na ujasiri wa kununua hawa cheap labour na mijeledi utawachapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi Hadi nimeogopa aisee

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalia video za Mwalimu Nyerere nyingi, anapoongea anakuwa anatafuna kitu...
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
 
Rumpelstiltskin A.K.A The Dark One...
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
 
[emoji23][emoji23] shaur yako kilimo ndo uti wa mgongo wa taifa hili hapa natakeleza hapa kazi tu
ngoja nimwambie mtoa mada aniazime hao misekule [emoji3] kama mia hivi naona msimu wa mazao upo njiani

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mtafute yule wa misukule..
Na wewe una roho ya ujasiri hivyo ya kuweka kutumia misukule?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…