Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

ungekua umeokoka ungeweza kuifuta hiyo ndoto mzee wako asingefariki


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kabila gani hao??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hiyo nguo yake kupotea inamaanisha nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baba yangu alishawahi mwadhibu mwanafunzi kwa fimbo..yule mtoto hakufanya kazi(homework)

Alivyorudi kwao akaenda kumsemea kwa babu yake.
Babu yake aliwahi asubuhi akamwambia mwalimu utanitambua.
Mara ghafla baba mkono ulivimba.
Akaenda hospital wapi hakuna kitu..
Ulivimba ulijaa maji.

Alikuwa halali usiku kwa maumivu.
Aliombewa Sana (familia yangu ilikuwa wale wanaosali uamsho wa wakristo tz UWATA)
Baadaye baada ya maombi akarudishwa Tena hospital akatibiwa akapona.


Mama yangu pia alishawahi kuugua..baada ya maombi yule aliyemroga akaanza kuropoka maneno.
Alimroga alikuwa anataka ndoa ivunjike amuue mama ili aolewe Yeye
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]
 
Kwa simulizi hizi, hakika Watanzania tupo vizuri sana upande wa pili wa shilingi. Hakika Uchawi upo, lakini Serikali haiamini Uchawi! Ifike mahali serikali yetu ibadili mtazamo juu ya hili.
Aliyekuambia Serikali haiamini uchawi ni nani, ni watu hujisemea hivyo tu. Tanzania tuna Sheria ya mambo ya uchawi, sasa jiulize serikali inaweza kutungia sheria jambo ambalo hailiamini??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una maono makubwa sana
Fanyia kazi utafika mbali sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalia bei ya vitu, muda anaofungua na kufunga, hakuna kitu kinauzi kama uende duka fulani ukute limefungwa bora nitembee kilomita mbili kufuata huduma ya uhakika kuliko mita50,ambayo unaweza kuta kafunga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23]wabongo kwa visingizio...halaf ukienda hapo golini kwake fulu ngendembwe na kaulimbovu kwa wateja hlf utegemee kupata wateja
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilikuwa naamini uchawi upo lakini nilikuwa naona kama haunihusu yaani hayo mambo sio kwa ajili yangu ,ila in 2012 wakti ni watoto wawili chini ya miaka mi 4 wote haka kakubwa she was 3yrs kalikuwa kananambia baba mtu ,sisi hatumuoni kwa wakati huo tulikuwa tumebaki mimi ,shemeji wa kike ,na watt wangu wawili ,wife alikuwa china kibiashara ,..alikuwa akirudia mara kwa mara nilikuwa nachukulia masihara ila baadae niliyokutana nayo hii dunia ndani yake kuna dunia nyingine yaani nimeishi maisha ya ajbu sana 2018, 2019 ni story ndefu from 2012 uhalisia ukaja dhihiri 2018 tayari mtt ameshakuwa yaani tumepitia vitu vya ajabu sana,tumeona mambo ambayo tulikuwa tukiyasikia tu ila Alhamdulillah M/mungu mkubwa sana tumepiga hatua kubwa Alhamdulillah
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…