We nishakujua vitu vya purukushani hupendi.Haya nimekuelewa boss
Aah purukushani fanyeni mnaoweza sisi wengine tunapenda maisha ya amaniWe nishakujua vitu vya purukushani hupendi.
Na mimi falsafa yangu ni kwamba, bila purukushani hakuna maendeleo.
Tuvumiliane tu.
Utampa kulingana na mazingira, kabisa jamaa aliona mikono yao haielewekieleki yaani vidole vyembamba virefu. Hapa sikupi mkono.
Wangemla na yeyeNakumbuka wkt fulani nyuma jamaa alikamatwa sikumbuki mkoa
Alikuwa anaingia kichawi nyumba za watu na kuwaingilia wanawake,haijalishi umeolewa au la,yeye anakula mzigo,ikaenea hiyo taarifa,siku ya siku akaingia nyumba ya mtu akanasa mpk asubuhi,kupigwa akasema kuwa ni yeye ndio alikuwa anawaingilia
Sent using Jamii Forums mobile app
We nishakujua vitu vya purukushani hupendi.
Na mimi falsafa yangu ni kwamba, bila purukushani hakuna maendeleo.
Tuvumiliane tu.
We nae unazingua kiranga, unashindwa nini muda mwingine kutuacha tufurahie masimulizi kwani lazima uje ukomenti utuharibie siku????
Sent using Jamii Forums mobile app
I wasn't even talking to you, troll.Wapi wewe! Purukushani unazijua ama unaandika tu hapa kufurahisha genge?
Sent using Jamii Forums mobile app
Walilalamika?Uchawi upo.....Mwezi jana mzee masumbuko huko wilayani makete ikonda wananzengo wamemtimua jamaa kwa kuwaingilia raia...Alilamba mke wa mwenyekiti wa kijiji na diwani viti maalumu na wananzengo kibao wakike na kiume.......Uchawi upo Umelala na mkeo kumbe mdau anafaidi huna habari na mbaya zaidi akikukula anatangaza mtaani jinsi ulivyo daaaah! siku ya kikao cha kumtimua wamama walilalamika mpaka huruma aisee.......Eeee Mungu kiponye kizazi changu
Hapo sawa mkuu.Nmekosea kutype year apo ni mwaka 2002
Mganga wa kienyeji.Nakumbuka 2006 niliugua Sana kichwa huku nikihisi baridi Kali Kama ile ya malaria. Wazazi wangu walizunguka na Mimi hospitali nyingi tu lakini kila wakipima hawaoni ugonjwa lakini Hali yangu Ni mbaya kwelikweli.
Kama hujawahi kuuguliwa huwezi kwenda Kienyeji maana Hakuna utachokifata. Wazazi wangu waliamua kujirudisha nyumbani lakini hali ilivyozidi kuwa mbaya wakaamua kunipeleka gereji. Gereji ya Kwanza fundi alifeli, kesho yake tukaenda gereji nyingine fundi Ni mama wa makamo. Alileta spana zake akaanza kazi, aisee nilipona hapohapo nikawa mzima.
Mpaka Sasa naamini ushirikina upo bila msaada wa Mungu kupitia yule Mmama wangenipoteza.
Huyohuyo, bila yule Mama ningeitwa Marehemu.