Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
We sio mzima...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Toka miaka ya nyuma kwenye siasa na historia utasikia wanasema mabeberu... n.k sasa leo nmeyakuta mabeberu yakijadiliana jambo.
Umewahi sikia serikali inasema inayachukia na kuyaogopa mabeberu?
Leo Jionee mwenyewe mabeberu.View attachment 978316
Yani hawa kwenye picha wamewashinda wazarendo wanaoiba rambirambi na matusi juu. Wamewashinda wazarendo wanaoiba Zaidi ya Trilioni 1.5Toka miaka ya nyuma kwenye siasa na historia utasikia wanasema mabeberu... n.k sasa leo nmeyakuta mabeberu yakijadiliana jambo.
Umewahi sikia serikali inasema inayachukia na kuyaogopa mabeberu?
Leo Jionee mwenyewe mabeberu.View attachment 978316
Wakienda Ikulu ya JIWE wanaitwa Wadau wa maendeleo a.k.a wanaume.wakija mlima kilimanjaro wanaitwa watalii
kumbe wako hivi mkuuToka miaka ya nyuma kwenye siasa na historia utasikia wanasema mabeberu... n.k sasa leo nmeyakuta mabeberu yakijadiliana jambo.
Umewahi sikia serikali inasema inayachukia na kuyaogopa mabeberu?
Leo Jionee mwenyewe mabeberu.yamekutwa yakijadiliana jambo.View attachment 978316
Tunawatoa knockout 2020Toka miaka ya nyuma kwenye siasa na historia utasikia wanasema mabeberu hivi, mabeberu vile... sasa leo tumefanikiwa kupata picha ya mabeberu.
View attachment 978316