OLS
JF-Expert Member
- Oct 12, 2019
- 426
- 685
Wanajamvi natoa ushauri tu!
Kama umeweka hela kwenye Vicoba nenda katoe.
Nawapa sababu.
Corona ni tishio na ndio hivyo vitu vimeanza kupanda bei kutokana na uzalishaji finyu na uhitaji mkubwa, low supply lakini high demand, hapo kunatokea shortage ambayo inalazimisha watu kupandisha bei ili kuifikia equilibrium 'Cobb web'
Kwa sababu hii hela nyingi itatakiwa kukimbizana na bidhaa kidogo, ndipo kwenye maana ya mfumuko wa bei, kutokana na shughuli nyingi kukwama itakuwa ngumu mtu awe anaiangalia hela halafu afe njaa.
Sasa ili kuepusha ugomvi wa kwenye vicoba na vitu vingine vya kufafana na hivyo kachukue hela zako, ukaweke mwenyewe benki ili kama ukila ule mwenyewe, au uzitumie kuweka stock kidogo nyumbani kwako maana mambo yanazidi kuharibika.
Ni ushauri tu! Sio lazima
Kuna muda nitakuja kushauri zaidi kuhusu Hisa, na uwekezaji mwingine kwenye masoko ya pesa.
Kwa wale wenye pesa benki muda bado, nitawashauri kitu nikiona viashiria vya hatari.
Signed
Oedipus
Kama umeweka hela kwenye Vicoba nenda katoe.
Nawapa sababu.
Corona ni tishio na ndio hivyo vitu vimeanza kupanda bei kutokana na uzalishaji finyu na uhitaji mkubwa, low supply lakini high demand, hapo kunatokea shortage ambayo inalazimisha watu kupandisha bei ili kuifikia equilibrium 'Cobb web'
Kwa sababu hii hela nyingi itatakiwa kukimbizana na bidhaa kidogo, ndipo kwenye maana ya mfumuko wa bei, kutokana na shughuli nyingi kukwama itakuwa ngumu mtu awe anaiangalia hela halafu afe njaa.
Sasa ili kuepusha ugomvi wa kwenye vicoba na vitu vingine vya kufafana na hivyo kachukue hela zako, ukaweke mwenyewe benki ili kama ukila ule mwenyewe, au uzitumie kuweka stock kidogo nyumbani kwako maana mambo yanazidi kuharibika.
Ni ushauri tu! Sio lazima
Kuna muda nitakuja kushauri zaidi kuhusu Hisa, na uwekezaji mwingine kwenye masoko ya pesa.
Kwa wale wenye pesa benki muda bado, nitawashauri kitu nikiona viashiria vya hatari.
Signed
Oedipus