Kama umezaliwa mwezi Septemba njoo ujifahamu zaidi hapa

Kama umezaliwa mwezi Septemba njoo ujifahamu zaidi hapa

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
Leo, hapa acha tuangalie tabia zinazohusishwa na watu waliozaliwa mwezi Septemba.

Watu hawa wanajulikana kwa uchangamfu wao na uwezo wa kujichanganya na wengine, na mara nyingi wanatajwa kuwa na marafiki wengi.

Pia, ni watu wanaojituma na huwa makini, kuhakikisha wanakamilisha majukumu yao kwa wakati na kwa usahihi.

Septemba babies pia wanadaiwa kuwa na adabu, maadili mema, na ukarimu. Wanapenda kujaribu mambo mapya na kujifunza vitu vipya.

Zaidi ya hayo, ni wavumilivu na wenye busara wanaposhughulikia mambo yao, huku wakionesha mtazamo wa kipekee na utulivu.

Baadhi ya watu maarufu wa Tanzania waliozaliwa mwezi huu ni pamoja na Wasanii wa Bongo Flava Ben Pol na Dogo Janja, aliyekuwa Waziri wa Afya Ummy Mwalimu na mwanasiasa Zitto Kabwe

Wengine ni Waziri Mkuu wa zamani na Makamu wa Kwanza wa Rais Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba, na Angellah Kairuki ambaye amewahi kuwa Waziri wa Wizara mbalimbali nchini.

Haya, Septemba Baby, unazo hizi tabia hapo au we mwenyewe unajishangaa?
 
Leo, hapa acha tuangalie tabia zinazohusishwa na watu waliozaliwa mwezi Septemba.

Watu hawa wanajulikana kwa uchangamfu wao na uwezo wa kujichanganya na wengine, na mara nyingi wanatajwa kuwa na marafiki wengi.

Pia, ni watu wanaojituma na huwa makini, kuhakikisha wanakamilisha majukumu yao kwa wakati na kwa usahihi.

Septemba babies pia wanadaiwa kuwa na adabu, maadili mema, na ukarimu. Wanapenda kujaribu mambo mapya na kujifunza vitu vipya.

Zaidi ya hayo, ni wavumilivu na wenye busara wanaposhughulikia mambo yao, huku wakionesha mtazamo wa kipekee na utulivu.

Baadhi ya watu maarufu wa Tanzania waliozaliwa mwezi huu ni pamoja na Wasanii wa Bongo Flava Ben Pol na Dogo Janja, aliyekuwa Waziri wa Afya Ummy Mwalimu na mwanasiasa Zitto Kabwe

Wengine ni Waziri Mkuu wa zamani na Makamu wa Kwanza wa Rais Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba, na Angellah Kairuki ambaye amewahi kuwa Waziri wa Wizara mbalimbali nchini.

Haya, Septemba Baby, unazo hizi tabia hapo au we mwenyewe unajishangaa?
Mzaliwa wa Septemba 3,kesho kutwa siku yangu ya kuzaliwa.
Ila kuna baadhi ya vitu hapo sivioni kwangu😂😂😂😂.
Katika uvumilivu ama subira mimi ni sifuri,yani nikitaka kitu hata kwa mtu ni must kifanyike wakati huohuo.
Kwa kujichanganya na watu hakipo mie ni introvert asilimia kubwa.
 
Leo, hapa acha tuangalie tabia zinazohusishwa na watu waliozaliwa mwezi Septemba.

Watu hawa wanajulikana kwa uchangamfu wao na uwezo wa kujichanganya na wengine, na mara nyingi wanatajwa kuwa na marafiki wengi.

Pia, ni watu wanaojituma na huwa makini, kuhakikisha wanakamilisha majukumu yao kwa wakati na kwa usahihi.

Septemba babies pia wanadaiwa kuwa na adabu, maadili mema, na ukarimu. Wanapenda kujaribu mambo mapya na kujifunza vitu vipya.

Zaidi ya hayo, ni wavumilivu na wenye busara wanaposhughulikia mambo yao, huku wakionesha mtazamo wa kipekee na utulivu.

Baadhi ya watu maarufu wa Tanzania waliozaliwa mwezi huu ni pamoja na Wasanii wa Bongo Flava Ben Pol na Dogo Janja, aliyekuwa Waziri wa Afya Ummy Mwalimu na mwanasiasa Zitto Kabwe

Wengine ni Waziri Mkuu wa zamani na Makamu wa Kwanza wa Rais Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba, na Angellah Kairuki ambaye amewahi kuwa Waziri wa Wizara mbalimbali nchini.

Haya, Septemba Baby, unazo hizi tabia hapo au we mwenyewe unajishangaa?
Aaa mule mule sifa zote najiona mimi kbsaa huyu hapa😅#1/9
 
Back
Top Bottom