M Manzile JF-Expert Member Joined Apr 23, 2020 Posts 701 Reaction score 1,900 Jul 3, 2022 #1 Wakuu habarini za jioni. Kwa yeyote mwenye kreti tupu za soda na bia kampuni yeyote Ile na anataka kuziuza, naomba tuwasiliane. Hata kama unazo kreti 1000 au zaidi nitazinunua, nipo morogoro mjini.
Wakuu habarini za jioni. Kwa yeyote mwenye kreti tupu za soda na bia kampuni yeyote Ile na anataka kuziuza, naomba tuwasiliane. Hata kama unazo kreti 1000 au zaidi nitazinunua, nipo morogoro mjini.
SACO JF-Expert Member Joined Jul 25, 2011 Posts 2,623 Reaction score 3,397 Jul 3, 2022 #2 Unataka kuanzisha var?
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 29,028 Reaction score 69,666 Jul 3, 2022 #3 Nina cret 1 la Coca-Cola, nakuuzia kwa 10k, nakutumia kwa gharama zako.
M Manzile JF-Expert Member Joined Apr 23, 2020 Posts 701 Reaction score 1,900 Jul 3, 2022 Thread starter #4 Ezekiel Mbaga said: Nina cret 1 la Coca-Cola, nakuuzia kwa 10k, nakutumia kwa gharama zako. Click to expand... Kutoka wapi mkuu?
Ezekiel Mbaga said: Nina cret 1 la Coca-Cola, nakuuzia kwa 10k, nakutumia kwa gharama zako. Click to expand... Kutoka wapi mkuu?
msigaji Senior Member Joined Dec 26, 2015 Posts 158 Reaction score 34 Jul 3, 2022 #5 Manzile said: Wakuu habarini za jioni. Kwa yeyote mwenye kreti tupu za soda na bia kampuni yeyote Ile na anataka kuziuza, naomba tuwasiliane. Hata kama unazo kreti 1000 au zaidi nitazinunua, nipo morogoro mjini. Click to expand... 0713449460 tuwasiliane
Manzile said: Wakuu habarini za jioni. Kwa yeyote mwenye kreti tupu za soda na bia kampuni yeyote Ile na anataka kuziuza, naomba tuwasiliane. Hata kama unazo kreti 1000 au zaidi nitazinunua, nipo morogoro mjini. Click to expand... 0713449460 tuwasiliane