Kama una mpango wa kuzamia Ulaya au Marekani usikurupuke zingantia haya.

Kama una mpango wa kuzamia Ulaya au Marekani usikurupuke zingantia haya.

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
10,198
Reaction score
35,323
Kuenda ulaya ni njia nyingine ya maisha ya kigoma hapa nyumbani ila kumbuka umri mzuri wa kuzamia Ulaya ni 18 to 35......ndo unaweza kuhimili mchaka mchaka ya kuzamia na kujifunza maisha upya.

Tafuta skills mbalimbali hapa nchini kabla ya kuenda ujizu kama plumbering, painting kunyoa na kusuka electronics bedcure upishi wa sherehe nk. Hizo kozi zina patikana kwa bei ya kawaida hapa kwetu, hakikisha unapata verified certifications zako. Kumbuka ukiwa utafutaji wa kibarua mzungu wa Marekani ata kuuliza what can you do? Mzungu wa wingereza atakuuliza what are your qualifications?, Mtazania atakuuliza umeletwa nani?/ au wewe ni ndugu wa nani?

Skills zenye certificates huwezi kukosa $500 kwa wiki hata kama bado uko shelter au camp unasubilia majibu ya documents zako. Usiangaike na flat degrees za bongo kama BA procurement and marketing BA in human resource Bsc chemistry nk hizo ni bure.
 
IMG_7933.jpg
 
HYa sawa tunafikaje canada au uSA
Mkuu kila mtu ana njia zake wengine wanapitia njia student visa wengine kama refugees wengine kama tourist wewe tafuta njia nyepesi kwako lakini pesa iwepo sio chini ya 5m kwa US au Canada, paper work hiyo.
 
Unakuta mwezangu alienda na masters degree anawosha vyiombo restaurant ana pata $250 kwa wiki wakati nanyoa mtu moja kwa $50 bedxure moja $150 wateja unawafuata uko huko majumbani kwao wiki inaisha umekusanya zaidi ya $1000, imagine majsha ni maandalizi sio nguvu.
 
Back
Top Bottom