Kama una tabia hizi hukuwa yatari kumiliki gari, umelazimisha

Kama una tabia hizi hukuwa yatari kumiliki gari, umelazimisha

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,711
Reaction score
35,644
1. Mafuta hayajawahi kuvuka nusu tank.
2. Ukiingia sheli unaweka mafuta yasiyozidi 20k.
3. Gari yako kuwaka taa ya mafuta ni kiawaida sana (unajisemea hii gari mimi ndio naijulia, hii taa natembea 30km+)🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
4. Ukiwa kwenye foleni lazima uzime gari.
5. Service unatumia mafuta ya kupima na ATF za kupima.
6. Unaendesha gari weekend tu tena misele ya hapa na pale mtaani.
7. Taa ikipata ufa unafunika na stika🙂🙂🙂.
8. Bush zikifa unachonga za natari ya gari.
9. Ball Joint ikilegea inagongwa nyundo 😀

Ongezeni mengine.
 
1.0 Mafuta hayajawahi kuvuka Nusu tank
2.0 Ukiingia sheli unaweka mafuta yasiyozidi 20k
30. Gari yako kuwaka taa ya mafuta ni kiawaida saana ( unajisemea hii gani mi ndio naiju hii taa natembea 30km+)[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
4.0 Ukiwa kwenye Foleni lazima uzime gari
5.0 Service unatumia mafuta ya kupima na ATF za kupima
6.0 Unaendesha gari weekend tu tena misele ya hapa na pale mtaani.
7.0 Taa ikipata ufa unafunika na stika🙂🙂🙂.
8.0 Bush zikifa unachonga za natari ya gari
9.0 Ball Joint ikilegea inagongwa nyundo 😀

Ongezeni mengine
Tairi ikiwa kipara una gongea used zile za 15k ..... kama gari ni IST [emoji125][emoji125][emoji125]
 
Back
Top Bottom