EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Tairi ikiwa kipara una gongea used zile za 15k ..... kama gari ni IST [emoji125][emoji125][emoji125]1.0 Mafuta hayajawahi kuvuka Nusu tank
2.0 Ukiingia sheli unaweka mafuta yasiyozidi 20k
30. Gari yako kuwaka taa ya mafuta ni kiawaida saana ( unajisemea hii gani mi ndio naiju hii taa natembea 30km+)[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
4.0 Ukiwa kwenye Foleni lazima uzime gari
5.0 Service unatumia mafuta ya kupima na ATF za kupima
6.0 Unaendesha gari weekend tu tena misele ya hapa na pale mtaani.
7.0 Taa ikipata ufa unafunika na stikaπππ.
8.0 Bush zikifa unachonga za natari ya gari
9.0 Ball Joint ikilegea inagongwa nyundo π
Ongezeni mengine
Au unaenda kuchonga kashata π€£ π€£ π€£Tairi ikiwa kipara una gongea used zile za 15k ..... kama gari ni IST [emoji125][emoji125][emoji125]
Namna nzuri sana ya kujipa moyoπAs long as it make them feel happy it's ok
This life is too unpredictable to keep waiting for perfection.
Athari za kuchonga kashata ni zipiAu unaenda kuchonga kashata [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Samahani mkuu we ndio yule John TravoltaNamna nzuri sana ya kujipa moyoπ
Nawapigia tu kelele πSamahani mkuu we ndio yule John Travolta
Au unatugia kelele tu apa.
As long as it make them feel happy it's ok
This life is too unpredictable to keep waiting for perfection.
TTairi inakuwa nyembamba sana inaweza kubasti wakati wowote ila linaonekana jipya ( ni kujidanganya mwenyewe)Athari za kuchonga kashata ni zipi