lugutuitclass
New Member
- Aug 2, 2020
- 1
- 1
Habari wanaJF?
Kama una uhitaji wa website au web application nitakusaidia kukutengenezea kwa muda kama ambavyo tutakubaliana
Aina ya website nazotengeneza
1.Wordpress websites na blogs nafanya kwa shilingi laki mbili mpaka tatu
2.Website ambazo hazina database au static websites.Hizi natengeneza kuanzia laki mbili na nusu mpaka laki nne
3.Websites ambazo zina database au web application.Hizi natengeneza kianzia laki tano mpaka milioni moja na nusu kulingana na uhitaji wako
Ukilipia gharama hizo,nitakupa ofa ya kuhost na kununua domain ya website yako kwa muda wa mwaka mmoja
Lugha za kompyuta nazotumia
1.Frontend
HTML5,CSS3,Bootstramp ,Xml na JavaScript
2.Backend
a)database ,natumia mySQL
b)server side language,natumia PhP
Napatikana mkoani Dodoma mahali ni chuo kikuu cha dodoma UDOM katika ndaki ya sayansi ya mawasiliano na compyuta
Mawasiliano
0753039599/0714874039
Kama una uhitaji wa website au web application nitakusaidia kukutengenezea kwa muda kama ambavyo tutakubaliana
Aina ya website nazotengeneza
1.Wordpress websites na blogs nafanya kwa shilingi laki mbili mpaka tatu
2.Website ambazo hazina database au static websites.Hizi natengeneza kuanzia laki mbili na nusu mpaka laki nne
3.Websites ambazo zina database au web application.Hizi natengeneza kianzia laki tano mpaka milioni moja na nusu kulingana na uhitaji wako
Ukilipia gharama hizo,nitakupa ofa ya kuhost na kununua domain ya website yako kwa muda wa mwaka mmoja
Lugha za kompyuta nazotumia
1.Frontend
HTML5,CSS3,Bootstramp ,Xml na JavaScript
2.Backend
a)database ,natumia mySQL
b)server side language,natumia PhP
Napatikana mkoani Dodoma mahali ni chuo kikuu cha dodoma UDOM katika ndaki ya sayansi ya mawasiliano na compyuta
Mawasiliano
0753039599/0714874039