Kama unaangalia mechi ya Yanga vs Namungo unapoteza muda wako

Namungo wametengenezewa jezi na utopolo
Namungo wana mkataba GMS
Namungo wako na Sportpesa
Mnajisumbua bure
Subirini saa 3.00 usiku mtanipa majibu hapa
Kwa kifupi Namungo ni kama banda la uani la Yanga
 
Rage alikuwa na maana kwa ile kauli ya kuwa nyie ni mambumbumbu
 
Mashabaiki WA Simba hatupo hivyo
1. tuna Akili.
2. Tunajitambua.
3. Tunajua Kujenga hoja.
4. Tunajielewa.


Kuna WATU wawili tu hapa JF wanatudhalilisha.

kama Mwenyekiti wa mashabiki WA Simba hapa Jamii Forum.
NAWAPA ONYO , MUACHE KUANDIKA MAPUMBA YENU.
 
Ilikuwa game tamu na yenye ushindani iliyodhihirisha ubabe na ubora wa yanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…