Kama unajijua we ni mbabe njoo hapa

jerrysonkiria

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2014
Posts
2,228
Reaction score
2,901
Wababe sisi tunajijua huwa hatuna maneno mengi vitendo tu.

Jana nilimtia makofi mtu baada ya kunambia mi nina undugu na joyce kiria ,sipendi ujinga mdogomdogo mimi!
 
....hakuna mbabe anavaa hiyo mirangirangi ya kigoloko ya viatu!
..toa kiwembe nitoe kisu tuone nani m'babe halisi!
 
Wababe sisi tunajijua huwa hatuna maneno mengi vitendo tu.

Jana nilimtia makofi mtu baada ya kunambia mi nina undugu na joyce kiria ,sipendi ujinga mdogomdogo mimi!
Vipi kwani wewe ni dadake au shangazi yake? Japo hamjafanana au ww ni god kdm mtangazaji mwandamizi wa mawingu?
 
....hakuna mbabe anavaa hiyo mirangirangi ya kigoloko ya viatu!
..toa kiwembe nitoe kisu tuone nani m'babe halisi!
HAHAHAHA mukubwa una jaji ubabe na viatu?, njo na kisu chako nikupige rungu moja tu
 
Wababe sisi tunajijua huwa hatuna maneno mengi vitendo tu.

Jana nilimtia makofi mtu baada ya kunambia mi nina undugu na joyce kiria ,sipendi ujinga mdogomdogo mimi!
Aisee bwana mdogo una vituko sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wababe sisi tunajijua huwa hatuna maneno mengi vitendo tu.

Jana nilimtia makofi mtu baada ya kunambia mi nina undugu na joyce kiria ,sipendi ujinga mdogomdogo mimi!
wewe utakuwa bado una evolve toka kwenye monke- kuwa binadam kamili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…