si tu kwa laptop bali chochote kile unachotaka kununua kitu chankwanza kuangaliza ni kwa matumizi gani unataka!! mfano unataka gari mtu anaweza akakushauri ununue scania yenye turbo horse power 900 kumbe maskini ya mungu wewe unataka gari ya kutembelea tu!!! so unataka kufanyia nini...maana computer kwa ajili ya gaming si sawa na computer anayotaka mtu wa kusomea tu shulena pia si sawa na mtu anaetaka kufanya kazi labda za labda graphic design ...nk.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.