rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Aisee huyu Kijana ameupeleka mziki wa Bongo kimataifa, kama Mtu unamchukia Kijana huyu wa Tandale aisee Utapata Tabu mnooo... Yani Diamond ni Jeshi la mtu mmoja anabadilisha ladha za muziki kila leoo kila aina ya mziki anaimba yule kijana alafu akitoa ngoma inahit mpaka hasiraa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119].
Ukimchukia diamond utateseka sana mafanikio yake na mziki wake Hakuna kijana anaefanya sanaa bongo anaweza mfikia kamwe... Labda aje kutokea miaka 100 ijayo but until then Diamond will be the ICON OF MUSIC IN TANZANIA even East Africa...[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Ukimchukia diamond utateseka sana mafanikio yake na mziki wake Hakuna kijana anaefanya sanaa bongo anaweza mfikia kamwe... Labda aje kutokea miaka 100 ijayo but until then Diamond will be the ICON OF MUSIC IN TANZANIA even East Africa...[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]