Kama unamfahamu mwanaume yeyote mwenye tabia hii mwambie aache madhara yake ni makubwa sana

amina mkuu
 
Nimeanza kuogopa ku comment kwenye nyuzi zako Gudume mana una mashushu si ya nchi hii na jazba juu.

Sijui kwa nini uko hivyo gudume. Nisamehe lakini. [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 

Unaendelea kudhihirisha jinsi gani ulivyo mjinga, so ukiwa na magari Na nyumba unaweza post lolote??
Bora ukae kimya tu,, uajiriwe au uajiri hiyo haizuii watu kukuchana unapoandika story za kitoto tena kutunga.
Mambo ya Facebook Peleka Facebook sio huku
 
Aah umenkumbusha ngoja nkatiki list yngu

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
 
Umaskin wako ni akili yako...

 
Aaah wap mamie... Nizoee tu. Mi sina jazba nina kifua kipana sana... Sema naongea facts nyingi mpaka watu wananichukia. Ila unizoee mamaaa...kumbe nlikutisha...basi mamii... Kuwa huru tu.nambie upo wapi nije nikuombe msamaha.... Nambie mamii popote nitafika hata south africa... .... Nisamehe bure tu... Si unajua sisi mianaume ya kiafrika hatupend kuhojiwa? Upo wapi mrembo?
Nimeanza kuogopa ku comment kwenye nyuzi zako Gudume mana una mashushu si ya nchi hii na jazba juu.

Sijui kwa nini uko hivyo gudume. Nisamehe lakini. [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Nimeanza kuogopa ku comment kwenye nyuzi zako Gudume mana una mashushu si ya nchi hii na jazba juu.

Sijui kwa nini uko hivyo gudume. Nisamehe lakini. [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahaa unajihami mpendwa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…