Kama unapataga pisi kali Kila weekend tuzungumze matumizi yetu

Kama unapataga pisi kali Kila weekend tuzungumze matumizi yetu

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Salaam nyingi kwa waiter🤣!

Imekuwa ada yaani kama kawaida mikoa yetu maarufu ya kula bata, Dodoma, DSM, Arusha, na Morogoro. Mabaharia tunakawaida ya kutimba viwanja bila hiana bila kelele tunakaa zetu kaunta na kula vyomboz.

Napenda demu pisi ambaye hana matako makubwa sana napenda size ya kati bhana weeee ni werewere tu.

Ikitokea hata vimodo flani kama wanenguaji wa Bendi ya james white yaani sharobaro.

Si kwa ubaya wala majigamboz Kila wkend sikosi Laki mbili (200) ijumaa na jmosi, mimi kwangu jmapili nashinda na kazi ya kunyanduana tu na pisi kwa mtanange mkali wenye vibes zote.

Karibuni mabaharia wenzangu sitaki kufanya promo ya bia ninayokunywa.

Karibuni

Wadiz ndio mimi.
 
Back
Top Bottom