smatskills
Member
- Nov 12, 2017
- 30
- 19
Hahahaaaaa kwanin?? Mm linanoga sababu nacheza popote hata kaziniHii haina ladha. Draft inataka maneno
Kijiweni mpaka upate muda,uzuri wa hili unacheza hata na rafikiyo pia nyumban au kazini muda wa kupumzikaHalinogi kama la kijiweni
Kazin hapana. Kijiwen fresh mimi nacheza british na pia french niko vizuri sana kwa britishHahahaaaaa kwanin?? Mm linanoga sababu nacheza popote hata kazini
Kwa nn uende kuchezea draft kazini?Hahahaaaaa kwanin?? Mm linanoga sababu nacheza popote hata kazini
Kabla ya kupata jibu jiulize kazini simu mzima au mnaacha wazi??Kwa nn uende kuchezea draft kazini?
Umecheza american? Level gani umefika.hawajui hilo nawapigaga sana