Kama unapenda mambo ya kidunia nakushauri usijenge wala kupanga na mtu au watu anayependa dini mtasumbuana

Kama unapenda mambo ya kidunia nakushauri usijenge wala kupanga na mtu au watu anayependa dini mtasumbuana

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Nakumbuka niliwai kupanga nyumba ya mpenda dini basi kila nacho fanya ujana wangu yani kila siku kuning'ang'ania ni silimu ikabidi nihame ile nyumba.

Nikapata nyumba nyengine ya mlokole yani enzi hizo nyimbo ya FM academia na ekudo sound hataki nyumba yake tupige ila usiku ni mwendo wa maombi mpaka bia zilikuwa zinakata.

Nashukuru nimejenga ambazo sehemu kila mtu na mambo yake.

Sijui wenzagu mliopitia hayo
 
Nakumbuka niliwai kupanga nyumba ya mpenda dini basi kila nacho fanya ujana wangu yani kila siku kuning'ang'ania ni silimu ikabidi nihame ile nyumba.

Nikapata nyumba nyengine ya mlokole yani enzi hizo nyimbo ya FM academia na ekudo sound hataki nyumba yake tupige ila usiku ni mwendo wa maombi mpaka bia zilikuwa zinakata.

Nashukuru nimejenga ambazo sehemu kila mtu na mambo yake.

Sijui wenzagu mliopitia hayo
Ungemchapia mabinti zake wote uwajaze Na mimba kisha unahama, afanye maombi/ kisomo kuzuia hizo mimba kama yeye mjanja
 
Umenizidi mwaka mmoja kaka.
Juzi nimetimiza 18 😊.

Acha tuendelee kula ujana, mpaka kuja kufika 30 tushakula bata refu sana.
Ujana Hauna umri ndugu yangu unamjua yule Mzee wa TikTok au lemutuz R.I.P usipoamua kuacha ujana basi ujana hautokuacha
 
Nakumbuka niliwai kupanga nyumba ya mpenda dini basi kila nacho fanya ujana wangu yani kila siku kuning'ang'ania ni silimu ikabidi nihame ile nyumba.

Nikapata nyumba nyengine ya mlokole yani enzi hizo nyimbo ya FM academia na ekudo sound hataki nyumba yake tupige ila usiku ni mwendo wa maombi mpaka bia zilikuwa zinakata.

Nashukuru nimejenga ambazo sehemu kila mtu na mambo yake.

Sijui wenzagu mliopitia hayo
Yaani kabisaaa...!!! Na kwenye ndoa ndo hatari. Mtu asithubutu kuoana na asiye wa imani yake. Bila kujali wote ni waislamu (shia na mwengine) au wote ni wakristo (dhehebu moja na jingine).
 
Ujana Hauna umri ndugu yangu unamjua yule Mzee wa TikTok au lemutuz R.I.P usipoamua kuacha ujana basi ujana hautokuacha
Una umri mkuu, mi nikifanya anayofanya huyo mzee hamtonishangaa kwakua ni kijana mdogo(18 yrs),
Ila huyo mzee kwakua ni mzee mnamshangaa na kumsema vibaya.
 
Hamna logic yaani from nowhere mtu akulazimishe uslimu . 😀 😀
 
Back
Top Bottom