KK; sitafuti mume wa pili! Ninachojaribu kuelezea ni kwamba a lot is expected about a woman as if yeye pekee first and foremost ndiye pekee muhitaji wa ndoa; pili yeye ndiye anayewajibika kulinda ndoa and hence ni yeye anayepaswa kulaumiwa isipowork out.
Rejea nyuzi nyingi jinsi gani wanaume wengi wanavyosupport wenzao wanavyofanya madudu! Na hata sisi twasipport na kuanza kuwasema wanawake wenzetu kuwa wamesababisha; it is so pathetic!
Kuna nyuzi ngapi za kuwafunda wanaume ili wawe waume bora?
I spoke for women in general not because of me? Na kama unaona nazisisha chumvi tufanye kautafiti kadogo humu2 ndani kama hayo ya kwenye red hayatokei!
KK; sitafuti mume wa pili! Ninachojaribu kuelezea ni kwamba a lot is expected about a woman as if yeye pekee first and foremost ndiye pekee muhitaji wa ndoa; pili yeye ndiye anayewajibika kulinda ndoa and hence ni yeye anayepaswa kulaumiwa isipowork out.
Rejea nyuzi nyingi jinsi gani wanaume wengi wanavyosupport wenzao wanavyofanya madudu! Na hata sisi twasipport na kuanza kuwasema wanawake wenzetu kuwa wamesababisha; it is so pathetic!
Kuna nyuzi ngapi za kuwafunda wanaume ili wawe waume bora?
I spoke for women in general not because of me? Na kama unaona nazisisha chumvi tufanye kautafiti kadogo humu2 ndani kama hayo ya kwenye red hayatokei!
Okay Kaunga.
Sikatai kabisa kwamba hayo uliyoandika, yanaweza kuwepo kwenye some of the couples, lakini kwa jinsi ulivyoandika, ni kama ndoa ni matatizo matupu.....yaani hakuna hata kufurahia hata kidogo.!!!!! Mhhhhh..sidhani kama hii picha ni sahihi. Na hata kwa mtafutaji, akiona hii, kwa kweli anakuwa dissapointed kabisa, while sio zote ziko hivyo. Kama nilivyosema, in most cases, what you expect is what you get. Ukiingia kwenye ndoa na mtazamo huo, kwakweli wala usitegemee kupata tofauti na mtazamo wako.
Stay blessed.
Kaunga, katika ndoa nyingi zinazovunjika, mke ndo mwenye maamuzi ya kuivunja ndoa. huu ndo ukweli. kama mke utaamua kukaa kwenye ndoa, hiyo ndoa haitavunjika, na kama utaamua kukimbia then vitaishia hapo. na ndo maana hata kwenye maandiko hawajasema mume, wamesema mke mpumbavu ataivunja nyumba yake. tukubali au tukatae, sisi wamama tuna uwezo mkubwa sana wa kuzijenga au kuzivunja ndoa zetu.
Ni swala tu la kimtazamo katika nyumba, ukijiona upo kwenye nyumba kama housegirl utajiona housegirl kweli. mimi nafurahia sana hizo kazi za kuzaa watoto (nilitamani nikiolewa niwe na watoto, so siyo shida kwangu), kupika, kufua, kuosha, kusafisha................ kwenda ofisini, kusoma....... ninapofanya kazi za nyumbani kwangu najiona nafanya kama mke, na siyo housegirl, kwa hiyo wala hainiumi
Ubarikiwe kwa maneno haya FP.
Amen K_H
Sometimes wamama tunapaswa kujua value yetu kwenye ndoa. Mimi najua ndoa yangu nisipotaka ivunjike haitavunjika na nikitaka kuivunja hata kesho tu itavunjika
Okay Kaunga.
Sikatai kabisa kwamba hayo uliyoandika, yanaweza kuwepo kwenye some of the couples, lakini kwa jinsi ulivyoandika, ni kama ndoa ni matatizo matupu.....yaani hakuna hata kufurahia hata kidogo.!!!!! Mhhhhh..sidhani kama hii picha ni sahihi. Na hata kwa mtafutaji, akiona hii, kwa kweli anakuwa dissapointed kabisa, while sio zote ziko hivyo. Kama nilivyosema, in most cases, what you expect is what you get. Ukiingia kwenye ndoa na mtazamo huo, kwakweli wala usitegemee kupata tofauti na mtazamo wako.
Stay blessed.
20 zote hizo kisa kupata mtu ambaye nitakuwa Housegirl wake kwa kumfulia, kumpikia, kumzalia watoto, kumfungulia mlango akirudi saa nane usiku akinuka mipombe, kuvumilia anapokoroma usiku, kuvumilia anapotoa siri zangu kwa nyumba ndogo, kuvumilia anappmtongoza Housegirl, anaponunua debe la mabeans while yeye na hawara zake wakitafuna minofu ya kiti moto, kuvumilia anappnidunda kisa nimemkoromea nyumba ndogo wake!! Pfew the list is too tiring!
Ningezingatia yote hayo hata zaidi ya 20 kama kungekuwa na gurantee kuwa mwanaume atabaki kama alivyokuwa wakati wa kuchumbiana au wa honey moon! Lkn wengi wao Mke ni kwa ajili ya kujenga familia lkn NN ni kwa ajili ya romance na mapenzi moto moto!
ushawatambua ni masaharouharo... rejea "Kumi na nane, ni jambo muhimu kujua sifa uzitakazo ambazo ungependa mumeo mtarajiwa awe nazo. Huo utakuwa ndio muongozo wako mkubwa."Mtambuzi mie hayo yote nafanya tangu nilipovunja ungo, lakini mbona nina bahati mbaya ya kukutana na masharobaro tuuu.........LOL
Kama ungeijua dhana ya kuoa na kuolewa labda usingepata tabu ya kuwaza hayo uyawazayo...........
Look...........
1.Mwanamke anasubiri kutongozwa au sijui niseme kuposwa na mwanaume
2. Anasubiri kulipiwa mahari na mwanaume
3. Anasubiri kuolewa na mwanaume
4. Anaondoka kwao na kuhamia kwa mwanaume na kuanzisha familia
Mlolongo ni mrefu sana........ hata hivyo nakubaliana na wewe kwamba pia wanaume wanapaswa kufundwa kuhusu kum-handle mwanamke na ndio maana hapo zamani kulikuwa na jando na Unyago, lakini kiuhalisia mwanamke ndiye anayewajibika kwa kiasi kikubwa kumvutia mwanaume ili aolewe na pia kulinda uhusiano huo tofauti na wanaume kwa sababu mwisho wa siku yeye ndiye muathirika....haya mambo yamekaa ki-mfumo Dume na nimekuwa nikiandika hapa karibu kila siku.....................
-
20 zote hizo kisa kupata mtu ambaye nitakuwa Housegirl wake kwa kumfulia, kumpikia, kumzalia watoto, kumfungulia mlango akirudi saa nane usiku akinuka mipombe, kuvumilia anapokoroma usiku, kuvumilia anapotoa siri zangu kwa nyumba ndogo, kuvumilia anappmtongoza Housegirl, anaponunua debe la mabeans while yeye na hawara zake wakitafuna minofu ya kiti moto, kuvumilia anappnidunda kisa nimemkoromea nyumba ndogo wake!! Pfew the list is too tiring!
Ningezingatia yote hayo hata zaidi ya 20 kama kungekuwa na gurantee kuwa mwanaume atabaki kama alivyokuwa wakati wa kuchumbiana au wa honey moon! Lkn wengi wao Mke ni kwa ajili ya kujenga familia lkn NN ni kwa ajili ya romance na mapenzi moto moto!
Pole sana Kaunga............ila nimesikitikitishwa na mtazamo wako kuhusu ndoa.......yaani kwako wewe ni about hapo red....mhhhh!!! Kuna kitu fulani nimejifunza, what you expect is what you get......nakushauri badili mtazamo wako...................na muombe Mungu atakupa mume mwema.
Ubarikiwe.
Kaunga, katika ndoa nyingi zinazovunjika, mke ndo mwenye maamuzi ya kuivunja ndoa. huu ndo ukweli. kama mke utaamua kukaa kwenye ndoa, hiyo ndoa haitavunjika, na kama utaamua kukimbia then vitaishia hapo. na ndo maana hata kwenye maandiko hawajasema mume, wamesema mke mpumbavu ataivunja nyumba yake. tukubali au tukatae, sisi wamama tuna uwezo mkubwa sana wa kuzijenga au kuzivunja ndoa zetu.