Pole sana Kaunga............ila nimesikitikitishwa na mtazamo wako kuhusu ndoa.......yaani kwako wewe ni about hapo red....mhhhh!!! Kuna kitu fulani nimejifunza, what you expect is what you get......nakushauri badili mtazamo wako...................na muombe Mungu atakupa mume mwema.
Ubarikiwe.
Kama ungeijua dhana ya kuoa na kuolewa labda usingepata tabu ya kuwaza hayo uyawazayo...........
Look...........
1.Mwanamke anasubiri kutongozwa au sijui niseme kuposwa na mwanaume
2. Anasubiri kulipiwa mahari na mwanaume
3. Anasubiri kuolewa na mwanaume
4. Anaondoka kwao na kuhamia kwa mwanaume na kuanzisha familia
Mlolongo ni mrefu sana........ hata hivyo nakubaliana na wewe kwamba pia wanaume wanapaswa kufundwa kuhusu kum-handle mwanamke na ndio maana hapo zamani kulikuwa na jando na Unyago, lakini kiuhalisia mwanamke ndiye anayewajibika kwa kiasi kikubwa kumvutia mwanaume ili aolewe na pia kulinda uhusiano huo tofauti na wanaume kwa sababu mwisho wa siku yeye ndiye muathirika....haya mambo yamekaa ki-mfumo Dume na nimekuwa nikiandika hapa karibu kila siku.....................
-
Kama ungeijua dhana ya kuoa na kuolewa labda usingepata tabu ya kuwaza hayo uyawazayo...........
Look...........
1.Mwanamke anasubiri kutongozwa au sijui niseme kuposwa na mwanaume
2. Anasubiri kulipiwa mahari na mwanaume
3. Anasubiri kuolewa na mwanaume
4. Anaondoka kwao na kuhamia kwa mwanaume na kuanzisha familia
Mlolongo ni mrefu sana........ hata hivyo nakubaliana na wewe kwamba pia wanaume wanapaswa kufundwa kuhusu kum-handle mwanamke na ndio maana hapo zamani kulikuwa na jando na Unyago, lakini kiuhalisia mwanamke ndiye anayewajibika kwa kiasi kikubwa kumvutia mwanaume ili aolewe na pia kulinda uhusiano huo tofauti na wanaume kwa sababu mwisho wa siku yeye ndiye muathirika....haya mambo yamekaa ki-mfumo Dume na nimekuwa nikiandika hapa karibu kila siku.....................
-