Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #21
Your being masculine unajisifiaPazuri sana darling. Independent for 100%, paying my own bills and the stuff.
Raha sana.
Kumbe unasifia kazi ya mwanamke mwingine, makubwaMama yake ndo amempambaniaβ¦
Uwee, weka picha tuoneMtumish bae anapewa dogy
AiseeWachache wataelewa hii concept , mwanamke usifundishwe kuvizia wenye pesa , utatumika na kuachwa , ukiwa na pesa yako utapata mwenye pesa pia , mwanaume haoi Sura anaoa akili sasa chaguo ni lao , wewe umewaeleza vizuri
Bro katafute hela2025 olewa na Mume utakayepwa na Mungu. Ubilionea sio msingi ni matokeo.
Wa piliHuyu ni mke wa pili au kachelewa kuingia ndoanii?
Wasemaji wa maisha ya watu hebu tunaomba mtupe majibu.
Hata mwamposa hakuwa bilioneaMabilionea wenyewe wako wangapi? π€£
Hivi uzuri ni weupe?Mwaka 2025 usikae kihasara
Nikikuita kwenye darasa la Feminine unaona nakuibia
Mmemwona Mke wa Bilionea Mwamposa? Alivyo mrembo? Alivyo FEMININE?
Hivyo ndivyo wanaume wakiwa na hela wanachagua wanawake wanaowataka wao, ambao walishindwa kuwamiliki wakiwa hawana hela
We zubaa hapo, shauriako
Darasa la Feminine liko whatsapp njoo usome weee
View attachment 3193114
Wanawake wako wangapi?Hata mwamposa hakuwa bilionea
Sahivi amekuwa
Wako 200 hapa Tz
Mwanamke feminine haombi mwanaume hela. Girl code 5
Ngoja waje kama wapo... Cc: Mahondawwww.jamiiforums.com
Una na mawe na unaanzia wapi kuvuta mong'ooo ?Kumbe mke wa Mwamposa ni kisu hivi.
Mwafrika anapenda mke mtiifu anaeweza kumcontrollUkute mkewe mweupe akili bye bge
Malaya unawafundisha malaya wenzio sio?Mwaka 2025 usikae kihasara
Nikikuita kwenye darasa la Feminine unaona nakuibia
Mmemwona Mke wa Bilionea Mwamposa? Alivyo mrembo? Alivyo FEMININE?
Hivyo ndivyo wanaume wakiwa na hela wanachagua wanawake wanaowataka wao, ambao walishindwa kuwamiliki wakiwa hawana hela
We zubaa hapo, shauriako
Darasa la Feminine liko whatsapp njoo usome weee
View attachment 3193114
bona demu wa kawaida?Mwaka 2025 usikae kihasara
Nikikuita kwenye darasa la Feminine unaona nakuibia
Mmemwona Mke wa Bilionea Mwamposa? Alivyo mrembo? Alivyo FEMININE?
Hivyo ndivyo wanaume wakiwa na hela wanachagua wanawake wanaowataka wao, ambao walishindwa kuwamiliki wakiwa hawana hela
We zubaa hapo, shauriako
Darasa la Feminine liko whatsapp njoo usome weee
View attachment 3193114
Weupe ndio uzuri...πππHivi uzuri ni weupe?
Kwa wanaume wengiHivi uzuri ni weupe?
WengiWanawake wako wangapi?
Hawapo tenaMwafrika anapenda mke mtiifu anaeweza kumcontroll
Mbona unaumia roho? Apite kwangu au la we shida yako nini labda?Tapeli tu wewe! Kwa hiyo na Mwamposa mke wake alipita kwako?