Kama unataka men - QD

Joined
Feb 6, 2024
Posts
40
Reaction score
64
Nampenda men mwenye umbo zuri kama jd/awe ananyuka pamba kama vile Stev B /sio maarufu sana kama hammy b / awe anajua mapenzi sana kama vile jafarai/ili nikiwa nae najua nitafurahi/ awe anapenda debe na wala asiwe na gebe /awe anajua kuimba kama shabani dede/awe ananijali lijali kama t.i.d/ mate kibovu washamba wala siwasimiki/ awe mpole mtaratibu kama dj nelly / sio mlevi kwa fujo kama raphaeli, headsome boy kwa bozi kama dj venture / ma sister du wakiniona nae wanadata / awe na Akili ya uchambuzi kama seba maganga /asiwe mchawi anapenda mambo ya waganga /awe mtanashati kama Abb sadik/ ili tuende out kila mwisho wa wiki / awe na dhiki, mihela katu sitishiki/ ili nimpende KWA Dhati wakome wanafiki/

πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

Rest in peace Dj steve b dj skils
 
Ni picha ya dj steve b na dj sinyorita nimepost picha ya dj steve b kwaBABU ni sehemu ya watu waliotanjwa katika hiyo nyimbo hiyo ya QD.
Hivi huyo binti bado yupo Clouds Radio ama aliondoka?

Sijamsikia Kitambo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…