nipo online JF-Expert Member Joined Sep 10, 2022 Posts 1,039 Reaction score 2,657 Sep 29, 2024 #1 Iwe biashara, kilimo, ufugaji, uvuvi nk. Lakini hakikisha unakua na uvimilivu wa kutosha lakini utakua upo katika nafasi kubwa ya kupata utajiri.
Iwe biashara, kilimo, ufugaji, uvuvi nk. Lakini hakikisha unakua na uvimilivu wa kutosha lakini utakua upo katika nafasi kubwa ya kupata utajiri.
The-unknown JF-Expert Member Joined Feb 26, 2014 Posts 1,228 Reaction score 1,447 Sep 30, 2024 #2 Risk is everything,no risk no gain
mdukuzi JF-Expert Member Joined Jan 4, 2014 Posts 20,925 Reaction score 51,688 Sep 30, 2024 #3 Calculated risk,risk zingine utaishia pabaya
Mnachihanguuu JF-Expert Member Joined Feb 10, 2023 Posts 4,385 Reaction score 6,443 Oct 1, 2024 #4 Kama mwaka huu nimeamua nijilipue kulima heka 100 za ufuta
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 301,577 Reaction score 754,412 Oct 1, 2024 #5 nipo online said: Iwe biashara, kilimo, ufugaji, uvuvi nk. Lakini hakikisha unakua na uvimilivu wa kutosha lakini utakua upo katika nafasi kubwa ya kupata utajiri. Click to expand... Kwa kilimo cha bongo na huna mtaji wa kutosha unatafuta kifo cha ibada ya kwanza
nipo online said: Iwe biashara, kilimo, ufugaji, uvuvi nk. Lakini hakikisha unakua na uvimilivu wa kutosha lakini utakua upo katika nafasi kubwa ya kupata utajiri. Click to expand... Kwa kilimo cha bongo na huna mtaji wa kutosha unatafuta kifo cha ibada ya kwanza