chichimizi
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,074
- 339
Habarini wakuu...
Tatizo la kukosa mtoto na kutoshika kwa mimba limekua sugu miongoni mwa kina Dada wengi ( haswa wale waliowahi kutoa mimba ....ingawa si wote)
Kama kuna mtu mwenye tatizo hili please nicheck PM.
NB. Sitafuti mchumba wala mke mm nimeoa tayari tena kwa ndoa halali.
Pia sifanyi biashara huduma hii ni bure maana hata mm nilisaidiwa bure .( hakuna imani za kishirikina)
Naomba kuwasilisha
Tatizo la kukosa mtoto na kutoshika kwa mimba limekua sugu miongoni mwa kina Dada wengi ( haswa wale waliowahi kutoa mimba ....ingawa si wote)
Kama kuna mtu mwenye tatizo hili please nicheck PM.
NB. Sitafuti mchumba wala mke mm nimeoa tayari tena kwa ndoa halali.
Pia sifanyi biashara huduma hii ni bure maana hata mm nilisaidiwa bure .( hakuna imani za kishirikina)
Naomba kuwasilisha