Omary huyo kwenye DP ni wewe?[emoji23] [emoji23] JF wakati mwingine hucheka peke angu tu....
[emoji23] [emoji23] dada yangu huyo...Omary huyo kwenye DP ni wewe?
Sikuwahi kuuimba, pengine mwalimu wetu alikuwa haujui, ila nakumbuka kuusikia nikiwa nimeshavuka darasa la kwanza. Ni siku nyingi, na ningeamua kukatisha masomo, pengine ningekuwa na wajukuu sasa.Aaa, eee, iiii, ooo, uuuuuuu!
Hiiiiizi ni herufi kuuu!
Tamka kwa sauti kuuu!
Hiiiiizi a, e, i, o, uuuuuuu!
a, jogoo a, a, aaaaa!
kama jicho e, e, e!
mwenye mpira i, i, iiiiii
o, ni pete o, o, oooo!
u, kikombe u, u, uuuuuuu!
Tazameni nyote juuu!
Tamka kwa sauti kuu,
Hiiiiizi a, e, i, o, uuuuuuu!
Niliuimba sana nikiwa darasa la (i) pale Vinghawe.
sawa,kuna jamaa anaitwa Riss unamfahamu?mnafanana jina,[emoji23] [emoji23] dada yangu huyo...
Hata darasa la kwanza wa mwakani wataimba bado!Aaa, eee, iiii, ooo, uuuuuuu!
Hiiiiizi ni herufi kuuu!
Tamka kwa sauti kuuu!
Hiiiiizi a, e, i, o, uuuuuuu!
a, jogoo a, a, aaaaa!
kama jicho e, e, e!
mwenye mpira i, i, iiiiii
o, ni pete o, o, oooo!
u, kikombe u, u, uuuuuuu!
Tazameni nyote juuu!
Tamka kwa sauti kuu,
Hiiiiizi a, e, i, o, uuuuuuu!
Niliuimba sana nikiwa darasa la (i) pale Vinghawe.
Ndiyo wameshirikiana na Bi sandraNdo ngoma mpya ya Chibu?