Kama unauzoefu na vyuo vya afya pls click here"

Gibrielly

Member
Joined
Mar 18, 2013
Posts
23
Reaction score
1
Hi, evry body natumaini mko poa na michkato ya hapa na pale. Mimi nimehitimu four niko katka harakati za kutafuta chuo according to my pas credit nina c mbili kwenye chemistry na biology kutkana na uwezkano wa kwenda five goverment kugonga mwamba nikaona ni tafute chuo cha afya /udaktari nikafind chuo kimoja kipo moshi cha Pale KCMC Cha st . LUKE ambacho kimebase na pharmacy according na maslahi yangu baada ya kusoma maana ngazi ya certificate ni mwaka then diploma 2years ada kwa mwaka ml. 3 .
Wana jf naombeni mnisaidie kuhusu ajira zipo kweli au nitapoteza mamilioni ya pesa tu bure?
 
Field ya afya ni moja ya fields ambazo zinahitaji watumishi, sector binafsi na ya umma,nenda ukasome tena kwa bidii, kwani uwezo wako wa taaluma utakayoisomea ndiyo itakupa ajira. Achana na fb, twitter, etc., kula shule, utatoka tu.
 

Watakuja wenyewe wanaovijua wakusaidie

Mimi nilikua napita tu lakini katika kupita nimeona nikupe ushauri kidogo. Elimu yako ya F4 siyo mbaya, lakini tumia lugha ambayo watu watakuelewa, hivyo vingereza vya kuungaunga unavyovipachika vinaonesha ni kiasi gani hukua makini shuleni (hata hivyo hongera maana hupo kwenye lile kundi la 60%). Huo ni ushauri wangu kwako, ukipenda waweza kuuchukua usipopenda achana nao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…