Kama ungekuwa wewe ungechukua uamuzi gani?

Mpeleke akaombewe huyo, ni pepo la uzinzi hilo!

Umenena wangu!

Waefeso6:12
Kwa maanakushindana kwetu si juu ya nyama na damu, bali dhidi ya falme, mamlaka, dhidiya wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.
 
kudadeki nikigundua anatoka nje, hakuna mjadala hata marehemu babu yangu aamke, ni divorce tu hata awe anajua kulima kama trekta...afanye vituko vyoooote ila sio kucheat
 
ktk red naona atakua na pepo huyo mpeleke akaombewe
ktk black majibu unayo tayari mkuu so take action
kibinadamu inabidi umtafutie therapist mana sio bure lazima atakua na tatizo kubwa tu na sio dogo labda kama humtimizii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…