Kama upimaji wa TEZI DUME ndiyo uko hivi naomba niandaliwe mapema tu Gereza langu kwani nitaua Mtu!

Status
Not open for further replies.
Hii tezi Dume ingekuwa inakaguliwa na madaktari wa kike inakuwa poa tu kuliko mwanaume mwenzio inaleta ukakasi sana.
[emoji116] [emoji116] [emoji116]
 
Hahahahaha wanapaka mafuta wakati wanaingiza hicho kidole cha kati au kavu kavu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hiyo kitu iiishie huko huko Kwa wanaume wa daar maaaana sisi wa mikoani hatuwezi kupepesa macho tunamtoboa mtu macho hivi hivi mbele Ya mkuu wenu wa mkoa huyo ambae anapambana na wanaume wa dar yani pumbafu kabisa wanaume wa dar yani Mara mnaogopa nyoka, Mara mnatishiwa na mafuriko, Mara wanaojiiita panya road Mara mnatishiwa na mwanaume mwenzenu eti msilale mchana hivi nyie wanaume wa daar ni hizo chpsi mayai zinawalemaza au ni hayo Magari Ya nwendokasi? Chezi kabisa nyie achana na hayo machips kula dona muone Kama huyo makonda atawatisha na hao watu wasiojulikana. Na mmmmpe salamu huyo makonda kuwa tukiamua wa huku mikoani tutamjia huko huko dar tumpe kibano hadi atamke jina lake halis
 
huko sio pa kuguswaguswa hovyo hovyo paliwekwa kupitisha taka mwili sasa wewe upakwe ky na lijidole kama hili eti unapimwa uvimbe...!
 
Kwa hiyo daktari mwanamke akikupenyezea kidole cha kati haina shida.... hahahaha guys hebu zioneeni huruma mbavu zangu uwiiii
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] namba 4.
 
Sasa nauliza kama sijui usimamishe sijui nini, na ndugu zetu mashoga nao itakuwaje katika upimwaji wao??

Halafu naona watakua wengi sana wakigombea kupimwa.
LoL
 
Nimebonyeza kitufe cha ''report'' kwa sababu umeandika upotoshaji. Huu upotoshaji utafanya watu wengi waogope kwenda hospital wanahisi wana tatizo la tezi dume.
 
Ni kipimo tu kaka

Kuingiziwa ' Ndole ' kunako ' Unyabeni / Unyeroni ' ndiyo kupimana huko Dada? Je Daktari ' mpimaji ' akikosea akapima kisha akavutiwa na Nyabe / Nyero la Mwanaume kisha nae akaamua kuchomeka na Mkuyenge wake kutakuwa na usalama tena hapo?

ANGALIZO

Waandaliwe upesi Madaktari wa Kike tena wawe wazuri kimwonekano ndiyo waje watufanyie hiyo ' Screening ' yao lakini kama watang'ang'ania kutuletea hao Madaktari wa Kiume kuna uwezekano ongezeko la Wamama ' Wajane ' nchini Tanzania na hasa Mkoa wa Dar es Salaam ukawa ni mkubwa kwani Waume zao wengi tutawapa tiketi za haraka sana kwenda Kupumzika ' Kaburini ' huku nasi tukienda kuanza makazi yetu mapya ' Segadansi / Segerea '.
 
Unakaa mtaa gani tuanzie uko
 
Sipati picha mheshimiwa mbowe akiwa anapitia hizo hatua za upimaji, wanachama itabidi tulipambe sana hili zoezi au makamanda mnasemaje
 
Makonda anawatafutia Madaktari wa Kiume wa Upimaji Tezi Dume ' Vifo ' vya lazima hakyanani Mkuu. Yaani nawatamani kweli waje hata leo ili nizikumbuke kidogo ' styles ' za Kimapigano za Hayati Bruce Lee.
Hata sie wakike tupo kwenye semina mkuu wewe jiandae tu mkuu nikupime mimi mwenyewe sikuumizi taratibuuu
 
Hahaaaaa potiiii [emoji16][emoji16]
 
Kwahiyo hata yule baunsa wa Diamond nae atainamishwa apimwe tezi?

Tena na kadokta kadooogo tu hivi kimbaumbau?

Na hizi kamera za smartphones zitawaacha salama kweli?
 
Hahahahaha wanapaka mafuta wakati wanaingiza hicho kidole cha kati au kavu kavu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sehemu nyingi za Haja Kubwa za Wanaume wengi huwa ni ngumu ngumu na kavu kavu hivyo ili kuleta ushirikiano uliotukuka baina ya Vidole vya Madaktari na Minyero / Minyabe ya Kiume nadhani itabidi ' Wese / Futa ' lihusike kwa sana tu. Ila sijui na yale ' Mapori ' yetu Tengefu ya Ihefu yanayokuweko huko itakuwaje Mkuu kwani huko huwa yanastawi mno.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…