Kama USA Wabunge Wasio na Nidhamu Hutolewa Nje ya Bunge ,Kwa Nini Wakwetu Wakitimuliwa Inakuwa Nongwa Kwa CHADEMA?

Kama USA Wabunge Wasio na Nidhamu Hutolewa Nje ya Bunge ,Kwa Nini Wakwetu Wakitimuliwa Inakuwa Nongwa Kwa CHADEMA?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Toka Trump awe Rais amesaidia sana kuonesha mambo yafuatayo;

1.Kwamba kumbe Urais ni One Man Show (Matakwa ya Rais) tofauti na Chadema wanavyodanganyaga eti ni taasisi

2.Kumbe Kila Chama kinatekeleza na kufuta ya Watangulizi wake tofauti na tunavyodanganyagwa eti Rais Mpya anaanza alipoishia mwingine (No consistency kwenye politics)

3.Kumbe Wabunge wa Upinzani Huwa Wanafukuzwa Wakikosa Nidhamu na zomea zomea.

4.Kumbe Hadi Huko USA Kuna Machawa eg Trump

5.Kumbe Bunge la USA Lenye Republican wengi ni Ruber Stamp hakuna kitu Cha Rais wanapinga ila ndio Mzee.

6.Kumbe nako Rais Huwa anawafuta kazi Watu wenye msimamo tofauti au kupinga mambo yake eg Kufutwa kazi Kwa Mkuu wa CIA/FBI na Mkuu wa Majeshi.

7.Kumbe Rais anaweza FUTA na Kuunda Idara Yeyote anavyojiskia na Kumpa Anaemtaka eg Kufutwa Kwa USAid na Kuunda Idara anayosimamia Chawa Elon Musk.

My Take
Utapeli na Uongo wa Chadema inazidi kuwekwa Wazi.Watafute sera nyingine 😂😂👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DGz_nO1zJwm/?igsh=MWIzc3d0MGlqNTZ6cw==

Rais wa Marekani, Donald Trump, usiku wa kuamkia leo, Machi 5, 2025, alikumbana na upinzani mkali wakati wa hotuba yake kwa Bunge la Marekani.

Hotuba hiyo ilikatizwa mara kwa mara na kelele za kupinga kutoka kwa wabunge wa chama cha Democratic, hali iliyosababisha kutolewa nje kwa Mwakilishi Al Green wa chama hicho.

Katika dakika za mwanzo za hotuba hiyo, wabunge wa upinzani walisikika wakiimba, "USADI! USAID," na Mwakilishi Al Green (D-Texas) alisimama, akapaza sauti na kutikisa fimbo yake kuelekea kwa Trump huku akisema kwa sauti:
 
Nongwa gani, ninyi huku mnawapiga risasi na kuwanyima hela zao za matibabu wabunge wa CHADEMA?!

Marekani hawajawahi kufanya hivyo.
Trump hakukoswa na risasi mara 2?

Waziri wa Japan hakupigwa kisu hadi kufa?

Cha ajabu ni kipi kwenye siasa za kugombea madaraka?
 
Toka Trump awe Rais amesaidia sana kuonesha mambo yafuatayo;
1.Kwamba kumbe Urais ni One Man Show (Matakwa ya Rais) tofauti na Chadema wanavyodanganyaga eti ni taasisi

2.Kumbe Kila Chama kinatekeleza na kufuta ya Watangulizi wake tofauti na tunavyodanganyagwa eti Rais Mpya anaanza alipoishia mwingine (No consistency kwenye politics)

3.Kumbe Wabunge wa Upinzani Huwa Wanafukuzwa Wakikosa Nidhamu na zomea zomea.

4.Kumbe Hadi Huko USA Kuna Machawa eg Trump

5.Kumbe Bunge la USA Lenye Republican wengi ni Ruber Stamp hakuna kitu Cha Rais wanapinga ila ndio Mzee.

6.Kumbe nako Rais Huwa anawafuta kazi Watu wenye msimamo tofauti au kupinga mambo yake eg Kufutwa kazi Kwa Mkuu wa CIA/FBI na Mkuu wa Majeshi.

7.Kumbe Rais anaweza FUTA na Kuunda Idara Yeyote anavyojiskia na Kumpa Anaemtaka eg Kufutwa Kwa USAid na Kuunda Idara anayosimamia Chawa Elon Musk.

My Take
Utapeli na Uongo wa Chadema inazidi kuwekwa Wazi.Watafute sera nyingine 😂😂👇👇
Rais wa Marekani, Donald Trump, usiku wa kuamkia leo, Machi 5, 2025, alikumbana na upinzani mkali wakati wa hotuba yake kwa Bunge la Marekani.

Hotuba hiyo ilikatizwa mara kwa mara na kelele za kupinga kutoka kwa wabunge wa chama cha Democratic, hali iliyosababisha kutolewa nje kwa Mwakilishi Al Green wa chama hicho.

Katika dakika za mwanzo za hotuba hiyo, wabunge wa upinzani walisikika wakiimba, "USADI! USAID," na Mwakilishi Al Green (D-Texas) alisimama, akapaza sauti na kutikisa fimbo yake kuelekea kwa Trump huku akisema kwa sauti:

Kama Ccm inafanya Kazi nzuri kwanini hawataki uchaguzi wa haki?
 
Toka Trump awe Rais amesaidia sana kuonesha mambo yafuatayo;
1.Kwamba kumbe Urais ni One Man Show (Matakwa ya Rais) tofauti na Chadema wanavyodanganyaga eti ni taasisi

2.Kumbe Kila Chama kinatekeleza na kufuta ya Watangulizi wake tofauti na tunavyodanganyagwa eti Rais Mpya anaanza alipoishia mwingine (No consistency kwenye politics)

3.Kumbe Wabunge wa Upinzani Huwa Wanafukuzwa Wakikosa Nidhamu na zomea zomea.

4.Kumbe Hadi Huko USA Kuna Machawa eg Trump

5.Kumbe Bunge la USA Lenye Republican wengi ni Ruber Stamp hakuna kitu Cha Rais wanapinga ila ndio Mzee.

6.Kumbe nako Rais Huwa anawafuta kazi Watu wenye msimamo tofauti au kupinga mambo yake eg Kufutwa kazi Kwa Mkuu wa CIA/FBI na Mkuu wa Majeshi.

7.Kumbe Rais anaweza FUTA na Kuunda Idara Yeyote anavyojiskia na Kumpa Anaemtaka eg Kufutwa Kwa USAid na Kuunda Idara anayosimamia Chawa Elon Musk.

My Take
Utapeli na Uongo wa Chadema inazidi kuwekwa Wazi.Watafute sera nyingine 😂😂👇👇
Rais wa Marekani, Donald Trump, usiku wa kuamkia leo, Machi 5, 2025, alikumbana na upinzani mkali wakati wa hotuba yake kwa Bunge la Marekani.

Hotuba hiyo ilikatizwa mara kwa mara na kelele za kupinga kutoka kwa wabunge wa chama cha Democratic, hali iliyosababisha kutolewa nje kwa Mwakilishi Al Green wa chama hicho.

Katika dakika za mwanzo za hotuba hiyo, wabunge wa upinzani walisikika wakiimba, "USADI! USAID," na Mwakilishi Al Green (D-Texas) alisimama, akapaza sauti na kutikisa fimbo yake kuelekea kwa Trump huku akisema kwa sauti:
Wapinzani wanatekwa pia? Wanauwawa pia? Wanapita bila kupingwa kama vegetables.?
 
Kama Ccm inafanya Kazi nzuri kwanini hawataki uchaguzi wa haki?
Uchaguzi wa haki ni upi? Trump anasema aliibiwa na Joe Biden.... mama Hillary Clinton anasema Russia walimsaidia Trump kuingia madarakani.... maisha ya mwanadamu popote duniani yamejaa mashaka...
 
Uchaguzi wa haki ni upi? Trump anasema aliibiwa na Joe Biden.... mama Hillary Clinton anasema Russia walimsaidia Trump kuingia madarakani.... maisha ya mwanadamu popote duniani yamejaa mashaka...
Sawa
 
Toka Trump awe Rais amesaidia sana kuonesha mambo yafuatayo;
1.Kwamba kumbe Urais ni One Man Show (Matakwa ya Rais) tofauti na Chadema wanavyodanganyaga eti ni taasisi

2.Kumbe Kila Chama kinatekeleza na kufuta ya Watangulizi wake tofauti na tunavyodanganyagwa eti Rais Mpya anaanza alipoishia mwingine (No consistency kwenye politics)

3.Kumbe Wabunge wa Upinzani Huwa Wanafukuzwa Wakikosa Nidhamu na zomea zomea.

4.Kumbe Hadi Huko USA Kuna Machawa eg Trump

5.Kumbe Bunge la USA Lenye Republican wengi ni Ruber Stamp hakuna kitu Cha Rais wanapinga ila ndio Mzee.

6.Kumbe nako Rais Huwa anawafuta kazi Watu wenye msimamo tofauti au kupinga mambo yake eg Kufutwa kazi Kwa Mkuu wa CIA/FBI na Mkuu wa Majeshi.

7.Kumbe Rais anaweza FUTA na Kuunda Idara Yeyote anavyojiskia na Kumpa Anaemtaka eg Kufutwa Kwa USAid na Kuunda Idara anayosimamia Chawa Elon Musk.

My Take
Utapeli na Uongo wa Chadema inazidi kuwekwa Wazi.Watafute sera nyingine 😂😂👇👇
Rais wa Marekani, Donald Trump, usiku wa kuamkia leo, Machi 5, 2025, alikumbana na upinzani mkali wakati wa hotuba yake kwa Bunge la Marekani.

Hotuba hiyo ilikatizwa mara kwa mara na kelele za kupinga kutoka kwa wabunge wa chama cha Democratic, hali iliyosababisha kutolewa nje kwa Mwakilishi Al Green wa chama hicho.

Katika dakika za mwanzo za hotuba hiyo, wabunge wa upinzani walisikika wakiimba, "USADI! USAID," na Mwakilishi Al Green (D-Texas) alisimama, akapaza sauti na kutikisa fimbo yake kuelekea kwa Trump huku akisema kwa sauti:
Kama uraisi siyo taasis kwann mkutano wake na raisi wa Ukraine usifanyike nyumbani kwake badala yake ofsini ???
Hujui maana ya taasis?
 
CCM wapo serious sana na wanachama wao, upinzani Tanzania ni chaka la wavizia ruzuku na udambu udambu wa wahisani mbalimbali wakiwemo baadhi ya wana CCM kwa maslai ya CCM...
 
Toka Trump awe Rais amesaidia sana kuonesha mambo yafuatayo;
1.Kwamba kumbe Urais ni One Man Show (Matakwa ya Rais) tofauti na Chadema wanavyodanganyaga eti ni taasisi

2.Kumbe Kila Chama kinatekeleza na kufuta ya Watangulizi wake tofauti na tunavyodanganyagwa eti Rais Mpya anaanza alipoishia mwingine (No consistency kwenye politics)

3.Kumbe Wabunge wa Upinzani Huwa Wanafukuzwa Wakikosa Nidhamu na zomea zomea.

4.Kumbe Hadi Huko USA Kuna Machawa eg Trump

5.Kumbe Bunge la USA Lenye Republican wengi ni Ruber Stamp hakuna kitu Cha Rais wanapinga ila ndio Mzee.

6.Kumbe nako Rais Huwa anawafuta kazi Watu wenye msimamo tofauti au kupinga mambo yake eg Kufutwa kazi Kwa Mkuu wa CIA/FBI na Mkuu wa Majeshi.

7.Kumbe Rais anaweza FUTA na Kuunda Idara Yeyote anavyojiskia na Kumpa Anaemtaka eg Kufutwa Kwa USAid na Kuunda Idara anayosimamia Chawa Elon Musk.

My Take
Utapeli na Uongo wa Chadema inazidi kuwekwa Wazi.Watafute sera nyingine 😂😂👇👇
Rais wa Marekani, Donald Trump, usiku wa kuamkia leo, Machi 5, 2025, alikumbana na upinzani mkali wakati wa hotuba yake kwa Bunge la Marekani.

Hotuba hiyo ilikatizwa mara kwa mara na kelele za kupinga kutoka kwa wabunge wa chama cha Democratic, hali iliyosababisha kutolewa nje kwa Mwakilishi Al Green wa chama hicho.

Katika dakika za mwanzo za hotuba hiyo, wabunge wa upinzani walisikika wakiimba, "USADI! USAID," na Mwakilishi Al Green (D-Texas) alisimama, akapaza sauti na kutikisa fimbo yake kuelekea kwa Trump huku akisema kwa sauti:
Rubbish! Unafananishaje USA na BONGO? yaani mbingu na ardhi.
 
Kama uraisi siyo taasis kwann mkutano wake na raisi wa Ukraine usifanyike nyumbani kwake badala yake ofsini ???
Hujui maana ya taasis?
Kwani mikutano ya Marais wetu Huwa inafanyika nyumbani?
 
Toka Trump awe Rais amesaidia sana kuonesha mambo yafuatayo;
1.Kwamba kumbe Urais ni One Man Show (Matakwa ya Rais) tofauti na Chadema wanavyodanganyaga eti ni taasisi

2.Kumbe Kila Chama kinatekeleza na kufuta ya Watangulizi wake tofauti na tunavyodanganyagwa eti Rais Mpya anaanza alipoishia mwingine (No consistency kwenye politics)

3.Kumbe Wabunge wa Upinzani Huwa Wanafukuzwa Wakikosa Nidhamu na zomea zomea.

4.Kumbe Hadi Huko USA Kuna Machawa eg Trump

5.Kumbe Bunge la USA Lenye Republican wengi ni Ruber Stamp hakuna kitu Cha Rais wanapinga ila ndio Mzee.

6.Kumbe nako Rais Huwa anawafuta kazi Watu wenye msimamo tofauti au kupinga mambo yake eg Kufutwa kazi Kwa Mkuu wa CIA/FBI na Mkuu wa Majeshi.

7.Kumbe Rais anaweza FUTA na Kuunda Idara Yeyote anavyojiskia na Kumpa Anaemtaka eg Kufutwa Kwa USAid na Kuunda Idara anayosimamia Chawa Elon Musk.

My Take
Utapeli na Uongo wa Chadema inazidi kuwekwa Wazi.Watafute sera nyingine 😂😂👇👇
Rais wa Marekani, Donald Trump, usiku wa kuamkia leo, Machi 5, 2025, alikumbana na upinzani mkali wakati wa hotuba yake kwa Bunge la Marekani.

Hotuba hiyo ilikatizwa mara kwa mara na kelele za kupinga kutoka kwa wabunge wa chama cha Democratic, hali iliyosababisha kutolewa nje kwa Mwakilishi Al Green wa chama hicho.

Katika dakika za mwanzo za hotuba hiyo, wabunge wa upinzani walisikika wakiimba, "USADI! USAID," na Mwakilishi Al Green (D-Texas) alisimama, akapaza sauti na kutikisa fimbo yake kuelekea kwa Trump huku akisema kwa sauti:
Chadema always ni wapotoshaji ndiyo maana hupuuzwa na wananchi mara zote 🐒
 
Back
Top Bottom