GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Tembelea vyoo vya uma vya hapa Tanzania ujionee maajabu! Vingi ni vichafu hakuna mfano.
~ vyoo vya vituo vya mabasi
~ vyoo vya sokoni
~ mpaka na vyoo vya baadhi ya mahospitali navyo vipo kwenye huo mkumbo.
Labda Watanzania wana utamaduni wa kuvipenda vyoo vichafu? Mbona sivyo ilivyo kwa baadhi ya majiji ya nchi jirani kama Kigali? Wao wana nini cha ziada?
Nimeviona vyoo vya uma vilivyopo kwenye bustani ya uma jijini Nakuru nchini Kenya! Kwa jinsi vilivyo visafi hutaacha kukubali kuwa wanaovisimamia wameshule wakashuleka!
Kwa kuwa hilo limeshindikana Tanzania, tuvigeuze viwe vivutio vya kitalii!
Tuwaalike watu kutoka Mataifa mbalimbali waje washuhudie mfano wa vyoo vichafu! Alau tufaidike kwa malipo watakayoyafanya.
Lakini kwa usalama wao, waje wakiwa wamevaa masks na wawe na sanitizers watakazoziaply kabla na baada ya kuvikagua hivyo vyoo
Bora tu tufanye hivyo ili ijulikane kuwa tumeamua kuvitumia vyoo vichafu kama vyanzo vya kipato.
Alau hiyo inaweza kutupunguzia aibu!
~ vyoo vya vituo vya mabasi
~ vyoo vya sokoni
~ mpaka na vyoo vya baadhi ya mahospitali navyo vipo kwenye huo mkumbo.
Labda Watanzania wana utamaduni wa kuvipenda vyoo vichafu? Mbona sivyo ilivyo kwa baadhi ya majiji ya nchi jirani kama Kigali? Wao wana nini cha ziada?
Nimeviona vyoo vya uma vilivyopo kwenye bustani ya uma jijini Nakuru nchini Kenya! Kwa jinsi vilivyo visafi hutaacha kukubali kuwa wanaovisimamia wameshule wakashuleka!
Kwa kuwa hilo limeshindikana Tanzania, tuvigeuze viwe vivutio vya kitalii!
Tuwaalike watu kutoka Mataifa mbalimbali waje washuhudie mfano wa vyoo vichafu! Alau tufaidike kwa malipo watakayoyafanya.
Lakini kwa usalama wao, waje wakiwa wamevaa masks na wawe na sanitizers watakazoziaply kabla na baada ya kuvikagua hivyo vyoo
Bora tu tufanye hivyo ili ijulikane kuwa tumeamua kuvitumia vyoo vichafu kama vyanzo vya kipato.
Alau hiyo inaweza kutupunguzia aibu!