Kama usaili ndo huu basi si kigezo cha kupata walimu bora.

Kama usaili ndo huu basi si kigezo cha kupata walimu bora.

robbyr

Senior Member
Joined
Apr 8, 2017
Posts
129
Reaction score
221
Mimi ni mmoja wa wahanga waliohudhuria usaili wa somo fulani mkoa wa Kilimanjaro ambapo watahiniwa walikuwa zaidi ya 500

Usimamizi ni imara na mkali sana dhahiri jambo hili lipo makini.

Ila cha kushangaza ubora wa mitihani na upimaji ni hovyoo kabisa kwani sidhani kama watahitaji walimu wanaojua kujibu maswali ya mtihani au wanaoweza kuwajenga watoto vizuri.

Naona huu ni mchezo ambao hauna tija zaidi ya kutumia gharama na mali nyingi kutafuta matokeo madogo.

Nilitamani ajira zilitolewe kama zamani lakini walimu wajengewe mtazamo wa continous learning ili kukidhi mabadiliko ya kimaisha katika maarifa.

Mwalimu bora ni yule anayependa kujifunza kila siku. Ila ili halinishangazi kwani TAMISEMI imekosa ubunifu kabisa kwa sababu hata maswala ya semina za walimu wameendelea kufanya live kitu ambacho wanafikia walimu wachache sana jambo ambalo wangeweza kurekodi video na hata walimu nchi nzima kutazama na kupata elimu moja kwa moja .

Nasema hivyo kwa sababu semini zinatumia gharama kubwa lakini maudhui au lengo lake ni kufundisha kuhusu andalio la somo au azimio la kazi kitu ambacho video ingeathiri walimu wengi kwa gharama ndogo.

Siasa ukipungua kwenye elimu basi tutaona mabadiliko kwa vitendo ila huu usaili tumepigwa na kuumiza watu kisaikolojia.
 
Kwani umekutana na maswali Gani? Tueleze Kisha tuyapime kulingana na hoja Zako!

Na je unadhani maswali Gani kwenye huo usahili ndiyo yalipaswa kuwepo? Kwanini?
 
Hueleweki mara usaili mara semina, ulitaka serikali ifanye nini fairly inataka kuajiri walimu 3000 wa somo X walioomba 35000 umuajiri nani umuache nani, kiufupi huu utaratibu uko vizuri licha ya mapungufu kidogo
 
Mimi ni mmoja wa wahanga waliohudhuria usaili wa somo fulani mkoa wa Kilimanjaro ambapo watahiniwa walikuwa zaidi ya 500

Usimamizi ni imara na mkali sana dhahiri jambo hili lipo makini.

Ila cha kushangaza ubora wa mitihani na upimaji ni hovyoo kabisa kwani sidhani kama watahitaji walimu wanaojua kujibu maswali ya mtihani au wanaoweza kuwajenga watoto vizuri.

Naona huu ni mchezo ambao hauna tija zaidi ya kutumia gharama na mali nyingi kutafuta matokeo madogo.

Nilitamani ajira zilitolewe kama zamani lakini walimu wajengewe mtazamo wa continous learning ili kukidhi mabadiliko ya kimaisha katika maarifa.

Mwalimu bora ni yule anayependa kujifunza kila siku. Ila ili halinishangazi kwani TAMISEMI imekosa ubunifu kabisa kwa sababu hata maswala ya semina za walimu wameendelea kufanya live kitu ambacho wanafikia walimu wachache sana jambo ambalo wangeweza kurekodi video na hata walimu nchi nzima kutazama na kupata elimu moja kwa moja .

Nasema hivyo kwa sababu semini zinatumia gharama kubwa lakini maudhui au lengo lake ni kufundisha kuhusu andalio la somo au azimio la kazi kitu ambacho video ingeathiri walimu wengi kwa gharama ndogo.

Siasa ukipungua kwenye elimu basi tutaona mabadiliko kwa vitendo ila huu usaili tumepigwa na kuumiza watu kisaikolojia.
Acheni mchujwe kwa haki kupitia hizibsaili hata kama unaziona hazina manufaa kuliko na ile zoa zoa.

Mimi napendekeza ili kuwabana Walimu wawe na ari ya kujiendeleza yaani CPD, wawekewe mfumo wa Usajili kama zilivyo taaluma zingine.

Wakati wa kuhuisha leseni inabidi afanye CPD kwanza ambayo ataifanyia Online kwenye mfumo utakaowekwa. Mfumo huu utacontrol mambo mengi ya taaluma ya Ualimu ikiwemo maadili sababu uwajibishwaji utakuwa rahisi na mzuri.

Mwalimu akifanya kosa inabidi awajibishwe kama kufutiwa leseni kabisa, hapa watakaa kwenye mstari.
 
Y
Mimi ni mmoja wa wahanga waliohudhuria usaili wa somo fulani mkoa wa Kilimanjaro ambapo watahiniwa walikuwa zaidi ya 500

Usimamizi ni imara na mkali sana dhahiri jambo hili lipo makini.

Ila cha kushangaza ubora wa mitihani na upimaji ni hovyoo kabisa kwani sidhani kama watahitaji walimu wanaojua kujibu maswali ya mtihani au wanaoweza kuwajenga watoto vizuri.

Naona huu ni mchezo ambao hauna tija zaidi ya kutumia gharama na mali nyingi kutafuta matokeo madogo.

Nilitamani ajira zilitolewe kama zamani lakini walimu wajengewe mtazamo wa continous learning ili kukidhi mabadiliko ya kimaisha katika maarifa.

Mwalimu bora ni yule anayependa kujifunza kila siku. Ila ili halinishangazi kwani TAMISEMI imekosa ubunifu kabisa kwa sababu hata maswala ya semina za walimu wameendelea kufanya live kitu ambacho wanafikia walimu wachache sana jambo ambalo wangeweza kurekodi video na hata walimu nchi nzima kutazama na kupata elimu moja kwa moja .

Nasema hivyo kwa sababu semini zinatumia gharama kubwa lakini maudhui au lengo lake ni kufundisha kuhusu andalio la somo au azimio la kazi kitu ambacho video ingeathiri walimu wengi kwa gharama ndogo.

Siasa ukipungua kwenye elimu basi tutaona mabadiliko kwa vitendo ila huu usaili tumepigwa na kuumiza watu kisaikolojia.
Yaani ni upotevu wa rasilimali fedha. Ila upande wa wasaili wanajipigia perdiem nzuri tu. Nchi hii Haina watu sehemu nyeti e.g wizara ya elimu aliyeleta pendekezo hili la usaili wa walimu Kwa kufanya mtihani wa multiple choice yenye maswali 25 ndani ya dakika 40 ni mtu wa hovyo kuliko neno lenyewe hovyo. Kwa ujumla CCM tusipowafanyia surprise, wataendelea kutunyonya huku wao wakineemeka.
 
Hao walimu wanavyobanwa utafikiri wanalipwa mamilioni kumbe laki 2/3/4...🙌
 
Back
Top Bottom