Kama usalama wa nchi wanachama hauzingatiwi kikamilifu siioni Jumuiya ya Afrika Mashariki ikidumu

Kama usalama wa nchi wanachama hauzingatiwi kikamilifu siioni Jumuiya ya Afrika Mashariki ikidumu

ZALEMDA

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2017
Posts
1,956
Reaction score
2,225
NATO ina kipengele kwamba nchi mwanachama ikivamiwa lazima nchi zote za NATO wampige adui kwa pamoja

Kwenye EAC, tungeweka kipengele kwamba : ikiwa nchi mwanachama itavamia nchi yoyote ndani ya Jumuiya au kushirikiana na kikundi cha uasi ndani ya EAC ,basi nchi hiyo itakuwa imekosa sifa ya kuwa mwanachama wa EAC.Hii itachochea upendo na mshikamano ndani ya jumuiya ya nchi za africa mashariki.

Kwa mfano, DRC ni nchi mwanachama wa EAC, Haiiji akilini kuona kuna nchi mwanachama inashirikiana na kundi la waasiwa M23 nchini humo kuleta vurugu ndani ya taifa lile.Tukiacha mambo kama haya yakaendelea EAC itakuwa haina maana yakuwepo.
 
Hako ka Paulo kanawapiga biti sana sijui kanajiamini nini ,DRC wanateseka sana sio utani
 
Ila DRC kwa ukubwa na Rasilimali alizonazo hakutakiwa hata kidogo kulia lia!! Alitakiwa kufyeka waasi wote na wanafiki wote waliopo nchini wanaoshirikiana na M23!! Piga risasi za kichwa!

Huo upumbavu ungeisha kabisa!
 
Back
Top Bottom