Jasmoni Tegga JF-Expert Member Joined Oct 28, 2020 Posts 12,624 Reaction score 24,751 Aug 5, 2022 #2 Nimeona alama ya CHADEMA, sijui unataka kusemaje hapo? Kwamba anafadiliwa na mabeberu, au?
Kayoka JF-Expert Member Joined Jun 21, 2011 Posts 2,262 Reaction score 1,956 Aug 5, 2022 #3 Mjuba pale nyuma kidogo, Mzee wa Mtarimbo na mtafuna watoto wazia wa watu. Nadhani wanaelekea location za mbali hukoooo kabisa. ππ Baada ya safari ndefu kwa zaidi ya saa 23, hatimaye mjuba kashuka ndege na sasa anawafanyia kwanza usahili wale watoto. Attachments IMG_20220805_171559.jpg 21.9 KB · Views: 36
Mjuba pale nyuma kidogo, Mzee wa Mtarimbo na mtafuna watoto wazia wa watu. Nadhani wanaelekea location za mbali hukoooo kabisa. ππ Baada ya safari ndefu kwa zaidi ya saa 23, hatimaye mjuba kashuka ndege na sasa anawafanyia kwanza usahili wale watoto.
Mwamuzi wa Tanzania JF-Expert Member Joined Apr 7, 2020 Posts 15,486 Reaction score 45,256 Aug 5, 2022 #4 Mbona naona ma men pekee? Namwona Katikista pale kati
KENZY JF-Expert Member Joined Dec 27, 2015 Posts 32,529 Reaction score 76,691 Aug 5, 2022 #5 Kuna jamaa anaupara hivi..π
Ben Zen Tarot JF-Expert Member Joined Dec 13, 2014 Posts 4,298 Reaction score 7,612 Aug 5, 2022 Thread starter #6 KENZY said: Kuna jamaa anaupara hivi..[emoji23] Click to expand... Ee huyo huyo jamaa anafanya ninii?
KENZY said: Kuna jamaa anaupara hivi..[emoji23] Click to expand... Ee huyo huyo jamaa anafanya ninii?
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 29,028 Reaction score 69,666 Aug 6, 2022 #7 Nmemuona jamaa mwenye kazi nyingi kuliko wote duniani
ndege JOHN JF-Expert Member Joined Aug 5, 2015 Posts 21,643 Reaction score 51,642 Aug 6, 2022 #8 John sin unawapeleka wengi motoni
Murashani GALACTICO JF-Expert Member Joined Feb 27, 2012 Posts 2,511 Reaction score 5,390 Aug 6, 2022 #9 Kocha wa man utd pale siti ya katikati