bakuza
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 492
- 104
Kijana mmoja wa kiume anayekadiliwa kuwa na umri wa miaka 14 hapa DAR amenishamngaza sana mpaka nikaona niulize.
Kijana huyu ana sehemu mbili ktk kichwa chake zinacheza kama utosi wa mtoto mchanga nilipomuuliza kama alishapelekwa hospitali alikataa kuwa hajawahi kupelekwa.
Sasa naomba wataalam mnisaidie kujua hili ni tatizo gani na matokeo yake uzeeni.:A S 465:
Kijana huyu ana sehemu mbili ktk kichwa chake zinacheza kama utosi wa mtoto mchanga nilipomuuliza kama alishapelekwa hospitali alikataa kuwa hajawahi kupelekwa.
Sasa naomba wataalam mnisaidie kujua hili ni tatizo gani na matokeo yake uzeeni.:A S 465: