Hakika mkuuMnaotafutaga umri wa wachezaji mtapata tabu sana wakuu!
Kuna umri wa kibinadamu halafu kuna umri wa mpira! Wacheza mpira wanaanza mwaka mmoja wakiwa darasa la saba. Kwahiyo hizi 18/20/22 ongeza miaka 5-7 utapata umri sahihi wa mtu halafu kuna umri tena ambao wakishaanza kucheza mpira huwa unasimama kama alianza akiwa na miaka 25 haisogei umri una freeze anacheza mpira misimu mi5 anabaki miaka 25 hio hio...
Swala la umri halisi liko Ulaya huku Africa tuna umri wetu wakimichezo..
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mnaotafutaga umri wa wachezaji mtapata tabu sana wakuu!
Kuna umri wa kibinadamu halafu kuna umri wa mpira! Wacheza mpira wanaanza mwaka mmoja wakiwa darasa la saba. Kwahiyo hizi 18/20/22 ongeza miaka 5-7 utapata umri sahihi wa mtu halafu kuna umri tena ambao wakishaanza kucheza mpira huwa unasimama kama alianza akiwa na miaka 25 haisogei umri una freeze anacheza mpira misimu mi5 anabaki miaka 25 hio hio...
Swala la umri halisi liko Ulaya huku Africa tuna umri wetu wakimichezo..
2016 alimaliza f4. Alizaliwa 2006 kwa hesabu kuwa mwaka huu yu 18 years. Nadhani yawezekana.Nimemsikia akihojiwa kwenye redio Moja ya Mwanza, jembe fm kuwa alianza form 1 huo mwaka
Nikajiuliza alisoma akiwa na umri Gani shule ya msingi.
Hakika udanganyifu wa umri Africa hasa kwenye michezo ni mkubwa.
Nina uhakika yule kijana hakosi miaka 26
Simba wasijione wapo salama Sana kwenye nafasi ya tatu nakuanza ku relax msimu unao Kuna Singida nao Wana shusha vyuma.Kikubwa msisajili kwa kuzingatia youtube
Ikiwa wewe ndio uliingia Labour, basi sawa, hojiNimemsikia akihojiwa kwenye redio Moja ya Mwanza, jembe fm kuwa alianza form 1 huo mwaka
Nikajiuliza alisoma akiwa na umri Gani shule ya msingi.
Hakika udanganyifu wa umri Africa hasa kwenye michezo ni mkubwa.
Nina uhakika yule kijana hakosi miaka 26
Mzize yeye kazaliwa 1975 lkn passport inasoma tofauti.Alimaliza darasa la saba mwaka 2013 na kwa mujibu wa maelezo yake kazaliwa 2005 so alimaliza shule ya msingi akiwa na umri wa miaka 8 na alianza shule ya msingi akiwa na miaka miwili.
Kwenye mpira inawezekana ila kiuhalisia haiwezekani.
Kwa hesabu hizi kama alizaliwa 2006 basi 2016 alikuwa na miaka 10, inawezekanaje amalize form four akiwa na miaka 102016 alimaliza f4. Alizaliwa 2006 kwa hesabu kuwa mwaka huu yu 18 years. Nadhani yawezekana.
Wanadanganya mpaka wanajisahauKwa hesabu hizi kama alizaliwa 2006 basi 2016 alikuwa na miaka 10, inawezekanaje amalize form four akiwa na miaka 10