toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,612
- 4,721
Vijana wa Lumumba Vijana wa ufipa
Kama kenya wanatuonea kila siku na mnasema tunaonewa
Nadhani tuchukue maamuzi magumu sana.
Tuwaambie waturudishie Mombasa na Lamu yetu maana sio kenya ile ilikua sehemu ya Zanzibar na Tanganyika
Narudia tena kwa kusema hivi!!!!Pwani sio kenya. Pwani sio kenya. Turudishieni sehemu yetu mlochukua tushachoka.
Rudisheni Mombasa na Lamu tuone mtatambia nini
Kama kenya wanatuonea kila siku na mnasema tunaonewa
Nadhani tuchukue maamuzi magumu sana.
Tuwaambie waturudishie Mombasa na Lamu yetu maana sio kenya ile ilikua sehemu ya Zanzibar na Tanganyika
Narudia tena kwa kusema hivi!!!!Pwani sio kenya. Pwani sio kenya. Turudishieni sehemu yetu mlochukua tushachoka.
Rudisheni Mombasa na Lamu tuone mtatambia nini