hata simba ni paka mkubwa.Haya yote yametokana na kukataliwa kwa mahindi. Leo imejulikana nani simba Afrika Mashariki. [emoji1787] [emoji1787]
sasa tukiweka bifu unadhani tutaandika humu jf!!!!Inashangaza sana, tuna majirani wa ajabu. Chorus ya watatunyima mahindi ili tufe njaa leo imegeuka kuwa ya bifu kisa tumeyakataa mahindi hayo hayo. [emoji38][emoji38][emoji38] Naona sasa ndio ghafla wamekumbuka kwamba tulikuwa tunanunua sio kupewa bure. Hawa jamaa ni wanafiki kupindukia, wapo radhi kula sima yenye aflatoxin na kujitia hamnazo kuhusu athari zake za kansa. Ili tu waonekane kwamba ni wajanja zaidi ya wakenya.
Hela yetu jeuri yetu...acheni ukajanja na uzembe boresheni mazao yenu, hata mkipiga ukunga lazima mkaguliwe...heheheWe mwehu kweli.. Tz Tunauza mahindi kwenye masoko ya Kimataifa ndio leo tuchukulie kauli za wendawazimu wa Kikenya?
WFP wananunua thousands of tonnes, Tunauza Sadc, tunauza DR Congo maelfu ya matani..
Mtanunua mahindi ya Tz, hata kwa viboko. Wait and see
Ingekuwa nchi moja sawa, lakini sasa zote TZ na UG? Wazungu kwenye hilo hawawezi kwenda kwa mihemko;Tushawaharibia jina. WFP ataanza kujiuliza maswali. Kama wazungu wakisikia kwamba mahindi yenu yana sumu basi watailazimisha WFP kufanya uchunguzi wao. Nchi zingine pia zitaanza kupima mahindi yenu na zingine zitakataa kununua.
Cc Geza Ulole
HawaweziBavicha watakubali kweli?
Wakati utasemaHaya yote yametokana na kukataliwa kwa mahindi. Leo imejulikana nani simba Afrika Mashariki. [emoji1787] [emoji1787]