Kama Wahaya wana sifa na wanajiona basi umekosea, Wasukuma wapo juu kwa hayo lakini wakiwa na pesa

Kama Wahaya wana sifa na wanajiona basi umekosea, Wasukuma wapo juu kwa hayo lakini wakiwa na pesa

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Wasukuma ni kabila kubwa katika makabila yaliyopo hapa Tanzania.

Na kwa bahati nzuri nina mke wa Kisukuma [emoji16]. ila hawa Wasukuma wasikie wakiwa na pesa ndugu zangu wa makabila mengine.

Yani wana sifa na majigambo balaa, ndiyo maana uchaguzi ukifika usije leta dharau wanaweza kukutoa kwenye reli.

Msukuma mweupe wa kike ukitaka kumuoa utakoma ukweni wanavojisikia, utadhani umeenda kununua madini.

Wasukuma wakiwa na pesa Muhaya anasubiri.
 
Sio kweli Mwanza kuna yule Billionea wa Mwaloni sijui kishimba anapesa mpaka anasahau nyingine ila ni mtu poa sana shuguli zake zote anaalika watu sio mtu wa majivuni wala maringo...pia kuna wasukuma kina maduhu,Nyehunge wanamikwanja mpaka basi ila uwezi kuona wanamaringo

Binafsi watu wenye majivuni kwa hapa bongo ni wahindi au waarabu waliozaliwa hapa ila wakabahatika kukamata chapaa..hawa wanaweza ata kukutemea mate

Sent from my MG using JamiiForums mobile app
 
Nakuelewa una maanisha nini... nawajua hawa jamaa ila wahaya ni mwisho wa maelezo mzee
 
Wasukuma ni kabila kubwa katika makabila yaliyopo hapa tanzania.

na kwa bahati nzuri na mke wa kisukuma [emoji16].
ila hawa wasukuma wasikie wakiwa na pesa ndugu zangu wa makabila mengine.

Yani wanasifa na majigambo balaa.ndio maana uchaguzi ukifika usije leta dharau wanaweza kukutoa kwenye reli.

Msukuma mweupe wa kike ukitaka kumuoa utakoma ukweni wanavojisikia utazani umeenda kununua madini.

wasukuma wakiwa na pesa muhaya anasubiri
We unaongelea Wanyantuzu,ila hawa Wasukuma wa kawaida unamkuta ana Ng'ombe sabini lakini anaoga kwenye Malambo pembeni ya Barabara?
 
Sio kweli Mwanza kuna yule Billionea wa Mwaloni sijui kishimba anapesa mpaka anasahau nyingine ila ni mtu poa sana shuguli zake zote anaalika watu sio mtu wa majivuni wala maringo...pia kuna wasukuma kina maduhu,Nyehunge wanamikwanja mpaka basi ila uwezi kuona wanamaringo

Binafsi watu wenye majivuni kwa hapa bongo ni wahindi au waarabu waliozaliwa hapa ila wakabahatika kukamata chapaa..hawa wanaweza ata kukutemea mate

Sent from my MG using JamiiForums mobile app
Unamjua Kishimba vzuri?
 
Wanyantuzu oyeeeeeeh.

Wasukuma ni kabila kubwa katika makabila yaliyopo hapa Tanzania.

Na kwa bahati nzuri nina mke wa Kisukuma [emoji16]. ila hawa Wasukuma wasikie wakiwa na pesa ndugu zangu wa makabila mengine.

Yani wana sifa na majigambo balaa, ndiyo maana uchaguzi ukifika usije leta dharau wanaweza kukutoa kwenye reli.

Msukuma mweupe wa kike ukitaka kumuoa utakoma ukweni wanavojisikia, utadhani umeenda kununua madini.

Wasukuma wakiwa na pesa Muhaya anasubiri.
 
😂😂..msukuma wangu ngoja nimchunguze akiwa na pesa
 
Back
Top Bottom