Maleven
JF-Expert Member
- Sep 8, 2019
- 689
- 3,373
Inatia hasira sana unaponyimwa haki na mke wako wa ndoa, wao hawajui tu ni kiasi gani tunakua na hasira.
Halafu mtu amelunyima anakuuliza, "umekasirika" Sasa unajiuliza hivi huyu anaakili kweli? Au huwa wanaona hilo ni jambo dogo?
Kama unaamua kumnyima mtu unamnyima ila usianze kuongea ongea.
Unaweza kula mbata zisizo za lazima mkaleta taharuki nyumbani. Full stop
Halafu mtu amelunyima anakuuliza, "umekasirika" Sasa unajiuliza hivi huyu anaakili kweli? Au huwa wanaona hilo ni jambo dogo?
Kama unaamua kumnyima mtu unamnyima ila usianze kuongea ongea.
Unaweza kula mbata zisizo za lazima mkaleta taharuki nyumbani. Full stop