Kama waliohukumiwa kunyongwa hawatanyongwa mauaji yataongezeka

Kama waliohukumiwa kunyongwa hawatanyongwa mauaji yataongezeka

kimarabucha

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2017
Posts
791
Reaction score
621
Wadau namwomba Mh.Rais wetu asiwaonee HURUMA wauaji ambao tayari Mahakama zetu zimekwisha wahukumu KUNYONGWA hadi kufa.Watu hao walifanya ukatili Mkubwa wakati wanaua. Pia kutowanyonga watu wengine watakuwa wanaua Kwa makusudi bila woga kwani HAWATANYONGWA.Pamoja na ADHABU YA KUNYONGWA ipo lakini bado kuna mauaji je ADHABU ikiondolewa mauaji YATAONGEZEKA ukizingatia na hali ngumu kiuchumi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KWANINI walitunga Sheria?

sheria bado ipo ila kuna kipengele kuwa rais lazima asaini kabla ya kutekelezwa kwa hukumu. kwa hiyo sheria bado inafanya kazi yake vizuri tu. cha kufanya sasa hivi ombea umchague rais atakayesaini hizo hukumu au wewe ndio uwe rais.
 
Wadau namwomba Mh.Rais wetu asiwaonee HURUMA wauaji ambao tayari Mahakama zetu zimekwisha wahukumu KUNYONGWA hadi kufa.Watu hao walifanya ukatili Mkubwa wakati wanaua. Pia kutowanyonga watu wengine watakuwa wanaua Kwa makusudi bila woga kwani HAWATANYONGWA.Pamoja na ADHABU YA KUNYONGWA ipo lakini bado kuna mauaji je ADHABU ikiondolewa mauaji YATAONGEZEKA ukizingatia na hali ngumu kiuchumi.

Sent using Jamii Forums mobile app

rais hapangiwi kuuwa au kutokuuwa mtu.

wewe huna tofauti na hao unaotaka wauwawe. ni kwamba hujapata tu nafasi ya kutekeleza mauaji mahali.
 
Back
Top Bottom