Kama Wana wa Israel hadi Leo hawajafika nchi ya Ahadi huyo Mwamba Mbowe anaamini atawavusha Chadema kwenda wapi?

Kama Wana wa Israel hadi Leo hawajafika nchi ya Ahadi huyo Mwamba Mbowe anaamini atawavusha Chadema kwenda wapi?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Miaka 21 Mwamba Mbowe anazunguka tu Ukuta wa Yeriko bila Kutenda maajabu yoyote

Sasa ni lini huyu Mwamba anadhani atawavusha Hawa wanaomwita Alfa na Omega?

Mlale unono 😄
 
Mwamba ataanguka bahari ya sham kama Farao na Mungu yake So watu wa Jehova twende na kamanda Lisu
 
Miaka 21 Mwamba Mbowe anazunguka tu Ukuta wa Yeriko bila Kutenda maajabu yoyote

Sasa ni lini huyu Mwamba anadhani atawavusha Hawa wanaomwita Alfa na Omega?

Mlale unono 😄
Yeye ndio anategemea kuvushwa na si kuwavusha
 
Back
Top Bottom