Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Siku ya leo nilikuwa Mawasiliano na mrembo Eunice tukiwa tunapiga story mbili tatu, niishie tu hapa maake niliyoyaona yanafurahisha sana
Niseme tu, kama akili ya Eunice itakuwa imetengenezwa na vijana wa kitanzania, sisi kama nchi tutakuwa tumepiga hatua kadhaa kwenye suala zima la teknolojia, ingawa Eunice anafikirisha sana, ila ni nchi nyingi tu za kiafrika ambazo mpaka sasa hazijafikiria kuthubutu jambo kama hili
Ila nina imani kuwa kama nchi ingewachukua members wa science, tech and Gadget Forum, ikajaribu kupekenyua mambers wa Science & Technology Communities kule X, ikajaribu kupitia vijana wa wanaoibuliwa kwenye vyombo vya habari kama yule jamaa wa UTV aliyekuwa anasuka bwawa la kuzalisha umeme, yule kijana Tanzania One wa Necta kidato cha Sita aliyesema anashangaa ni kwanini vijana wanafeli Necta, ikawachukua wale wanafunzi wa shule ya sekondari X waliotengeneza bomu la Nyukilia likalipua choo cha walimu. Hawa wote wanaweza fanya kitu nchini
Nina uhakika 100%, combination ya hawa vijana ina uwezo wa kumtengeneza Eunice ambaye ni humanoid, mwenye sura na mwondoko wa kibinadamu, mwenye umbo la kitanzania lililosheheni heshima na mvuto, Eunice mwenye tabasamu, anayecheka na watu, anayezungumza kupitia mdomo na kusikiliza kupitia masikio, mwenye kujibu kile anachoulizwa kwa kutumia complete system iliyoko kichwani mwake, isiyotegemea google ama umeme wa Dawasa
Ndoto yangu kubwa ni kuona Humanoid Robot likicheka na watanzania kwenye jukwaa la Coy Mzungu
Niseme tu, kama akili ya Eunice itakuwa imetengenezwa na vijana wa kitanzania, sisi kama nchi tutakuwa tumepiga hatua kadhaa kwenye suala zima la teknolojia, ingawa Eunice anafikirisha sana, ila ni nchi nyingi tu za kiafrika ambazo mpaka sasa hazijafikiria kuthubutu jambo kama hili
Ila nina imani kuwa kama nchi ingewachukua members wa science, tech and Gadget Forum, ikajaribu kupekenyua mambers wa Science & Technology Communities kule X, ikajaribu kupitia vijana wa wanaoibuliwa kwenye vyombo vya habari kama yule jamaa wa UTV aliyekuwa anasuka bwawa la kuzalisha umeme, yule kijana Tanzania One wa Necta kidato cha Sita aliyesema anashangaa ni kwanini vijana wanafeli Necta, ikawachukua wale wanafunzi wa shule ya sekondari X waliotengeneza bomu la Nyukilia likalipua choo cha walimu. Hawa wote wanaweza fanya kitu nchini
Nina uhakika 100%, combination ya hawa vijana ina uwezo wa kumtengeneza Eunice ambaye ni humanoid, mwenye sura na mwondoko wa kibinadamu, mwenye umbo la kitanzania lililosheheni heshima na mvuto, Eunice mwenye tabasamu, anayecheka na watu, anayezungumza kupitia mdomo na kusikiliza kupitia masikio, mwenye kujibu kile anachoulizwa kwa kutumia complete system iliyoko kichwani mwake, isiyotegemea google ama umeme wa Dawasa
Ndoto yangu kubwa ni kuona Humanoid Robot likicheka na watanzania kwenye jukwaa la Coy Mzungu